Sunday 26 January 2014

MBOWE NA VIONGOZI ALIOFUATANA NAO WASHUSHA HELIKOPTA UWANJA WA UHURU PLATFORM BUKOBA LEO

 Mwenyekiti wa chama cha Chadema Freeman Mbowe akiwasili kwenye uwanja wa Uhuru Platfom
 Umati wa watu ukimpokea mwenyekiti wao, na wengine wakiwa wamekuja kushuhudia kwa macho Edickopta ikishuka uswahili viwanja vya mayunga
 Bw Mweyunge akiweka mambo sawa uwanjani
 Wapenzi nguri wa chadema wakiwa na furaha
 Bw Kipara akisalimia wananchi
 Mchungaji Mulaki Diwani wa kata ya Kibeta akitoa neno na kunukuu maneno katika Biblia
 Edikopta ikiwa angani kabla ya kutua, ilizunguka maeneo kadhaa ya mji wa Bukoba
 Wananchi wakiiangakia Edukopta ikitua
 Mwenyekiti wa Chadema Taifa akiomba kabla ya mkutano kufunguliwa
 Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Kagera Wilfred Rwakatare akifungua mkutano
 Mbunge wa Arusha Mh Lema akiongea na wananchi
 Mh Lema amezungumzia swala la  Zito Kabwe kuwa amekuwa akihujumu chama kwa muda mrefu, na sasa wamefika mahara wameamua kufanya maamuzi ya kumvua nyazifa zote katika chama na atabaki na unge wa mahakama.
 Mh Mnyika ameongelea swala la gharama za umeme kupanda na mikataba mibovu inayoliingiza Taifa kwenye hasara kubwa na wananchi kuwalazimu kuwa na maisha magumu
 MH Mbowe pamoja na kuongelea maswala ya kitaifa, likiwemo swala la rasimu ya katiba na serikali tatu kuwa ndio msimamo wa Chadema na kuwaomba wananchi kuwaunga mkono kwa nguvu zote, na hasa wanapokwenda kwenye bunge hili,Pia amezungumzia swala la ubadhilifu uliotokea kwenye Manispaa ya Bukoba  wa zaidi ya bilioni mbili, Mh Mbowe amesema na kawataka wananchi wa Bukoba  na maeneo mengine kukubali ukweli na kupongeza viongozi wanaosimamia haki za wananchi hata kama si wa vyama vyao,(JAMANI MNYONGE MNYONGENI HAKI YAKE MPENI  Nawapongeza sana madiwani wa ccm, chadema na cuf kwa kuwa kitu kimoja kusimama imara na hatimae CAG  kutoa taarifa ya UFISADI WA ZAIDI YA BILIONI MBILI na kupelekea  Anatory Aman kujiuzuru, ongereni sana.) Pia amewataka viongozi wa dini wasitumiwe  vibaya na baadhi ya watu kuongelea sawala udini eti kwa sababu tu kiongozi furani amepatikana na na ufisadi au wizi lakini kwa kuwa ni dini tofauti  anaonekana ni mwema wakati amehusika kuhujumu  mali za wananchi na wizi.Amewaomba viongozi wa dini kukemea swala hilo na amesema kwa hapa Bukoba wapo watu sasa wameanza kugawa watu kwa udini ni hatari sana kwa kufanya hivyo.
 Umati wa wananchi wakimsikiliza Mbowe
 Dah jamaa ni balaaa
 Ras akifurahia mkutano
 Baada ya mkutano kwisha

No comments:

Post a Comment