Saturday 29 August 2015

MAGUFULI AINGIA MKOA WA NJOMBE LEO NA KUAHIDI MAENDELEO MKOANI HUMO


 Mgombea wa Urais kwa kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa kijiji cha Kikondo kata ya Ilungu Mbeya vijijini akiwa njiani kuelekea mkoa wa Njombe .
 Mgombea wa Urais kwa kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa kijiji cha Ujuni Makete mkoani Njombe .
 Mwenyekiti wa Shirikisho la vyama vya Watu wenye ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA) Amon Anastaz Mpanju akisalimia wakazi wa Iwawa kwenye mkutano wa Kampeni za CCM uliofanyika stendi ya Mabehewani Makete.
 Mgombea wa Urais kwa kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Ikonda  kata ya Tandala ambapo aliahidi kumaliza matatizo ya msingi ya wananchi hao ikiwa kujengwa kwa barabara ya lami, kujenga visima vya maji, elimu bure mpaka kidato cha nne.
 Mgombea wa Urais kwa kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Wanging'ombe mkoani Njombe kwenye mkutano wa Kampeni za CCM ambapo leo ameingia mkoa wa tatu.
 Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Philip Mangula (kushoto) akiwa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Njombe Ndugu Deo Sanga na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Mhe. Wiliam Lukuvi  wakimsikiliza Mgombea wa Urais kwa kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli kwenye mkutano wake katika wilaya ya Wanging'ombe.
 Mgombea wa Urais kwa kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akimkabidhi mgombea Ubunge wa Jimbo la Wanging'ombe  Eng.Gerson Lwenge ilani ya uchaguzi ya CCM

 Mhe. Pindi Chana akiwasalimu wakazi wa Wanging'ombe
 Mgombea wa Urais kwa kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akiagana na wagombea wa nafasi ya udiwani wa jimbo la Wanging'ombe mkoani Njombe.
 Mgombea wa Urais kwa kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akiwaaga wananchi wa wanging'ombe.
 Mgombea wa Urais kwa kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli (kulia) akizungumza na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Mhe.Philip Mangula

 .Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi ambaye pia ni mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Mhe. Wiliam Lukuvi akihutubia wakazi wa njombe mjini kwenye uwanaja wa Saba Saba.
 Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Mhe. Philip Mangula akihutubia wakazi wa Njombe mjini kwenye mkutano wa kumnadi mgombea urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa mji wa Njombe kwenye uwanja wa sabasaba ambapo aliwahakikishia serikali yake itakuwa ya wachapa kazina kuelta maendeleo kwa wananchi.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa mji wa Njombe kwenye uwanja wa sabasaba ambapo aliwahakikishia serikali yake itakuwa ya wachapa kazina kuelta maendeleo kwa wananchi.
Waziri wa Afrika Mashariki Dk. Harrison Mwakyembe akihutubia wakazi wa Njombe kwenye uwanja wa saba saba na kuwataka kuwa makini na viongozi wa kisiasa wanao walaghai wananchi.

Wednesday 26 August 2015

MAMIA WAMZIKA ENG. LAMBERT NDIWAITA KIJIJINI KWAO MARUKU RUIJA BUKOBA

 Hakika kama binadamu angeijua siku na saa ya kuondoka dunia angefanya kila awezavyo kuzuia kifo, Saa na muda ukifika hakuna kizuizi, hali hiyo huwaachia simanzi , machungu na masikitiko makubwa watu waliokuwa karibu na marehemu,Hali hii mnamo tarehe 20-08-2015 familia, ndugu , jamaa na marafiki wa marehemu Lambert Ndiwaita yaliwakuta baada ya mpendwa wao kuaga dunia huko nchini Nairobi na mwili wake kusafirishwa na kuletwa Bukoba.(Katika picha ni watatu kutoka kulia ni mjane wa marehemu Gracia Nestory akitoa heshima za mwisho kwa marehemu mume wake)

Wafanyakazi wa mamlaka ya viwanja vya ndege Tanzania walifika kumzika Mwenyekiti wa bodi


Wakati wa kutoa heshima ya mwisho kwa marehemu.

Kulia ni mama mzazi wa marehemu.
Watoto wa marehemu wakitoa heshima za mwisho.
Mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya viwanja vya ndege Tanzania akitoa salamu za rambirambi.
Neno la mwisho watoto wa marehemu kwa baba yao.
Mchungaji akiongoza ibada.

Kampuni maalumu  ya mazishi  iliyoshughulika mwanzo mwisho kutoka nchini uganda.
Inauma sana.


Bw na  Bi Benson Balyagti wakiweka shada la maua.
Hapa ndipo alipolala mzee Lambert Ndiwaita,hakika atakumbukwa daima katika mchango wake mkubwa wa kutumikia Taifa la Tanzani, familia na jamii kwa ujumla, pumzika kwa amani.