Sunday 20 March 2016

BIJAMPOLA HOTEL KUFUNGULIWA PASAKA 27-3-2016 KEMONDO, YAMOTO BAND KUTUMBUIZA.

Ni muonekano wa Bijampola hotel iliyoko Kemondo Bukoba inayofunguliwa rasmi 27-3-2016 siku ya pasaka,Ni hotel ya kisasa itakayotoa huduma za malazi, chakula na vinywaji,katika ufunguzi huu itakuwepo bendi kubwa na maarufu ya Yamoto bend kutoka jijini Dar es salaam, hiyo wakazi wa Bukoba pasaka mpango mzima Kemondo. Karibuni sana.
Kwa ndani.
Sehemu ya kuingilia.
Sehemu ya ukumbi kwa ajili ya mikutano, semina, harusi nk.
Ukumbi mzuri,mkubwa na unapendeza.
Muonekano wa chumba cha double.
Chumba cha single.
Hii si ya kukosa.

NYUMBA INAPANGISHWA KWA SHUGHULI ZA KIOFISI,IKO NYAMKAZI BUKOBA,KARIBU NA UWANJA WA NDEGE.PIGA SIMU 0715936119, AU +447525175337 AU 0755980477.

 Nyumba nzuri ya kisasa  na kubwa yenye vyumba vinne,sebule,sehemu ya kulia chakula,jiko,store na yenye thamani za ndani(Furniture) inapangishwa kwa matumizi ya ofisi ,inapangishwa kwa kampuni,shirika au mtu binafsi kwa shughuli za kiofisi,ipo Bukoba mjini Nyamkazi karibu na uwanja wa ndege ,ina eneo kubwa ambalo unaweza kulitumia kulingana na matakwa yako,usalama wa kutosha,ina uzio umezunguka eneo lote la nyumba. Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba 0715-936119 au +447525175337 au 0755-980477.
 Ina eneo kubwa la kutosha.
 UZIO UMEZUNGUKA ENEO LOTE LA NYUMBA.
PIGA SIMU NAMBA 0715-936119 AU +447525175337 AU 0755-980477.