Saturday 4 July 2015

NMB BUKOBA YAKUTANA NA WAFANYABIASHARA(NMB BUSINESS CLUB)VIONGOZI WAANDAMIZI WA NMB WATOA SOMO.

NMB Bukoba imekutana na wafanyabiashara na wateja wao kwa lengo la kukaa pamojakuzungumza maswala mbalimbali ya kibiashara na namna ya kupeana mafunzo na uboreshaji wa biashara,Mkutano huuo ulihudhuriwa na viongozi waandamizi wa NMB makao makuu, kanda na viongozi wa Nmb tawi la Bukoba,Wafanyabiashara walipata fursa ya kueleza maoni yao mbalimbali  namna ya kufanya biashara.(Katika picha ni mmoja ya mfanyabiashara(mama  Edgar) akitoa maoni yake.)
Wafanyabiashara wakiwa ukumbini.
Wakifurahia mafanikio na NMB.
Unaweza kuangalia salio katika account yako kwa kutumia simu yako ya mkononi, kama wanavyofanya hawa.
Sura za furaha na muonekano wa bashasha na NMB.
Kulia ni Meneja wa tawi la NMB  Bukoba Victorine Kimario akiwa na  afisa  wa huduma  kwa wateja NMB Bukoba Bw Sadick Mkakile wakiteta jambo kabla ya mkutano kuanza.
Kushoto nimwenyekiti wa Business club tawi la Bukoba  Faustine Karugendo akiwa na  meneja kanda ya ziwa NMB  bw Abraham Agustino.
Meneja NMB tawi la Bukoba  bw Victorine Kimario akitoa maelezo kwa wafanyabiashara.
Kushoto ni Meneja mwandamizi NMB makao makuu Bi Suzan Shuma,Meneja mahusiano biashara kutoka makao makuu na Bw Adam karazani.
Bw Mugisha akitoa maoni yake.
Bi Penina Nyoni Afisa mikopo NMB Bukoba.
Bi Rukia Mawenya (KUSHOTO) akiangalia salio.
Bw Stephen Manji Afisa Mahusiano biashara NMB makao makuu akitoa somo.
Punga mikono , ni maafisa wa NMB Bukoba.
Kushoto ni Bi Shida Maingu Afisa  mikopo midogo na ya kati NMB Bukoba.
Afisa mikopo NMB Bukoba Bi Janet Aloya akitoa somo.
Bw Peter Afisa mikopo NMB Bukoba.
Mwenyekiti wa Business club Bukoba Faustine Karugendo akiongea na wafanyabiashara.
Bw Borando Chacha ( Bima)
Bw Adam Kazarani akitambulisha zao la  NMB  Master card.
Meneja mwandamizi  makao makuu Bi Suzan shuma akielezea maboresho ya huduma, maboresho ya mikopo na kujibu maoni mbalimbali yaliyotolewa na wafanyabiashara.
NMB NDIO MPANGO MZIMA KWA MAISHA BORA NA UHAKIKA.

Sunday 28 June 2015

SALOME UTAWAACHA WAZAZI WAKO NA UTAAMBATANA NA MMEO GREGORY NAE MTAKUWA MWILI MMOJA.

 Ilikuwa ni siku ya furaha ya Bw Gregory na Bi Salome katika kanisa katoliki la Kasambya wilayani Missenye Kyaka walipotamka mbele ya padre na waumini kibao waliofika kushuhudia wakiweka mkata wa ndoa,mara baada ya kusaini makubaliano uliondoka msafara uliotanguliwa na shamrashamra za kila aina, honi, vigelegele vikitawala wakizunguka maeneo mbalimbali ya Bunazi na badae ukumbini.
 Mwanamke pozz
 Bi Salome alinoga haswaaaa.
 Hii ni mara moja tu,na hata ukirudia aiwi kama ya kwanza.
 Mke wangu pokea pete hii iwe ishara ya upendo wangu kwako na uaminifu wangu kwako, nitakupenda, nitakulinda ,nitakupenda katika raha na shida.
 Mme wangu pokea pete hii iwe ishara ya upendo na uaminifu wangu kwako.
 Mr Ema na mkewe
 Mc Ema
 Wazazi wa bw harusi wakiingia ukumbini.
 Mama mzazi wa bi harusi
 Kofia umeiona.
 waalikwa.
 Mpangilio wa stage, krki na shampein.
 Mr Jamco na Mc Ema kikazi.
 Nawashukuru kwa kumlea mke wangu vema.
 Hakika kazi kubwa mmefanya karibuni keki.
 Mc Ema kikazi zaidi.
 Tuikateee.
 Hakika ukiuukata moyo wangu,utaona furaha yangu siku ya leo mme wangu.
 Leo natimiza nilichokueleza siku ileeeeee.
 Bw harusi na Bi harusi wakiwa na wenzao wakiimba nyimbo ya kwaya kuonyesha uwezo wao katika kuimba neno la bwana.
 Kunywa mke wanguunakumbuka siku ile tunaimba kwaya nilikwambia nitakunywesha siku moja.
 Akavishwa kanzu Bw harusi.
 Ni baba mzazi wa Grigory akikabidhi zana za kimila kuashiria sasa anakabidhiwa familia.
 Mama mzazi wa Bw harusi akamzawadia mwanae.
 Wazazi upande wa Bi Harusi wakawapongeza.
 Mr Ema na mkewe wakatoa cheki ya fedha kadhaa kwa maharusi.
 Dada kwa raha zake.
 Wamjini utawajua,uzee mwisho Mutukula.
 Mwenyekiti nae akafanya yake.
 Bi Harusi mdogo ni shidaaaa
 Kamati ya usafiri ikatambulishwa.
 Bw Harusi nae akaonyesha ujuzi wa kusakata rumba.
 Kamati ya burudani ikatambulishwa.
 Ma brighter wakionyesha uwezo wao katika kusakata rumba.
 Mahaba niueee.
Jamcobukoba.blogspot.com inawatakia maisha ya amani na upendo.