Wednesday 11 December 2013

WAFANYAKAZI WA MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE NA WAFANYAKAZI WA CRDB BANK WAHITIMU MAFUNZO CHUO CHA DIPLOMASIA DAR

                                       Picha ya pamoja Wakufunzi wakiwa na  wahitimu
                                            Badyliana Kabwogi wa pili  kushoto akiwa  katika mafunzo
                                                                                           Mafunzo yakiendelea
              Mkuu wa Wilaya Temeke  Sofia Mjema akipokea cheti cha kuhitimu  mafunzo

Rais Kikwete na Mama Salma walipokuwa na Mzee Mandela.

.
DSC04695 22626
DSC04697 d7d46
DSC04700 2704a
DSC04704 8c2c3
.

Jacob Zuma na wake za Mandela Winnie na Graca watoa heshima za mwisho kwa Nelson Mandela

.

.
article-2521757-1A052DEA00000578-255 964x966 f8321
Gari maalum lililobeba mwili wa Marehemu Mzee Nelson Mandela likitokea Hospitalini na msafara kuelekea sehemu maalum iliyoandaliwa kwa ajili ya watu maarufu kutoa heshima za mwisho.
article-2521757-1A0533E900000578-113 964x567 62801
Raia wa Afrika Kusini wakiwa wamejipanga kando kando ya barabara kutoa heshima zao za mwisho kwa Mzee Nelson Mandela.
article-2521757-1A056EB600000578-301 964x691 16850
Mwili wa Mzee Nelson Mandela ukiwasili kwenye jengo lililopo mji mkuu wa nchi hiyo Pretoria, ambapo utalala kwa siku tatu kuruhusu Raia wote wa Afrika Kusini na Dunia kwa ujumla kutoa heshima zao za mwisho.
article-2521757-1A06092C00000578-176 964x833 f819d
Mke wa kwanza wa Mzee Nelson Mandela akionekana na majonzi mazito akielekea kutoa heshima za mwisho kwa mumewe wa zamani.
article-2521757-1A06339300000578-927 964x622 d13e0
Mwanamindo wa Kimataifa Naomi Campbell alishindwa kuzuia hisia zake baada ya kuona jeneza la Mzee Nelson Mandela likiwasili kwenye viwanja hivyo tayari kwa kutoa heshima za mwisho.
article-2521757-1A06380200000578-720 964x646 bbc5c
Rais Jacob Zuma na mkewe wakitoa heshima za mwisho.)

FIVE STARS BOYS TIMU YA WATOTO WAPATA MWALIKO WA MKUU WA MKOA WA KAGERA KUCHEZA MECHI ZA KIRAFIKI MULEBA NA KAITABA KATI YA TAREHE 20-12-2013 HADI -1-1-2014

T
 Timu ya Watoto  wadogo ya mpira wa miguu iliyopata mwaliko wa Kanal Fabian Massawe Mkuu wa Mkoa wa Kagera

                                       Five Star Boys wakiwa mazoezini  kwa maandalizi ya kuja Bukoba
         Kocha  wa Five Star Boys akiwa kwenye mazoezi na watoto anaojiandaa kuja Bukoba
                                                            Kikosi kinachokuja Bukoba
Kikosi cha Timu ya watoto kati ya miaka 8-10 ambao watatoa burudani safi katika manispaa ya Bukoba na Muleba,Ziara ya watoto hawa inadhaminiwa na  Point View Hotel Muleba   

RAIS KIKWETE NA VIONGOZI WAADHIMISHA KUMBUKUMBU YA NELSON MANDELA



unnamed_24e2b.jpg
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwa na Rais Mstaafu wa Marekani Mhe George W. Bush na Mkewe Laura Bush wakiwa jukwaa la viongozi na watu mashuhuri baada ya Kuadhimisha Kumbukumbu ya Kifo cha aliyekuwa kiongozi mashuhuri wa Afrika Kusini na duniani, Mheshimiwa Nelson R Mandela leo Desemba 10, 2013 katika uwanja wa FNB jijini Johannesburg.
unnamed_1_ddc1a.jpg
unnamed_2_cdb96.jpg
PICHA NA IKULU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumanne, Desemba 10, 2013, ameungana na viongozi wa mataifa mbali mbali duniani na maelfu ya wananchi wa Afrika Kusini Kuadhimisha Kumbukumbu ya Kifo cha aliyekuwa kiongozi mashuhuri wa Afrika Kusini na duniani, Mheshimiwa Nelson R Mandela.
Maelfu kwa maelfu ya wananchi wamehimili mvua kubwa iliyokuwa inanyesha kwa nguvu kwenye Uwanja wa Michezo wa FNB mjini Johannesburg kumwaga Mzee Mandela ambaye alikuwa ishara kuu ya upinzani wa siasa za ubaguzi wa rangi za makaburu wa Afrika Mashariki

CAPE TOWN WAPITISHA BAJETI YA SH 12.2 BILIONI KUMUAGA MANDELA



mandela_8600e.jpg
Baraza la Jiji la Cape Town, limeidhinisha matumizi ya Rand72 milioni (Sh12.2 bilioni) kwa ajili ya mazishi ya Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela.
Taarifa ya baraza hilo iliyotolewa jana ilisema bajeti hiyo ilipitishwa katika kikao cha dharura na kwamba itasaidia kufanikisha shughuli zote za maandalizi ya kumuaga Mandela katika mji huo.
Mbali na kupitisha bajeti hiyo, pia liliamua kuweka usafiri wa bure kwa kutumia treni za mji huo – MyCiTi na mabasi marefu ya Golden Arrow kuwafikisha watu katika maeneo maalumu yaliyotengwa kwa ajili ya kuonyeshwa shughuli za kuaga mwili.

MAGAZETI YA LEO


DSC 0012 d3c86
DSC 0013 e0db4
DSC 0014 bf2a3
DSC 0015 7a3e9
DSC 0016 5a085
DSC 0017 43078

NPF NET LINDI YATOA MSAADA KATIKA KAMBI YA WAZEE NA WALEMAVU LINDI




makabidhiano 48628
Mwenyekiti wa Mtandao wa Polisi wanawake mkoaniLindi, ambaye pia ni Kamishna msaidizi wa Jeshi hilo,Acp Renatha Mzinga,akikabidhi sehemu
ya msaada wa vyakula Muuguziwa kambi ya wazee wasiojiweza wa Rasibura,Manispaa ya Lindi,Bi,Elizabeth Njowele
TPF NET 1 2e7e8
Kamishna msaidizi wa Jeshi la polisi,Bi Renatha Mzinga pamoja na wanachama wa mtandao wa Polisi wanawake wakishiriki kazi ya usafi katika kambi ya wazee na walemavu Mkoani Lindi zingine mwenyekiti huyo wa Mtandao wa Polisi
TPF NET 2 06f92
            Wana mtandao wa Polisi wakiendelea na zoezi la usafi
TPF NET 3 06187
        Picha tpf 3.Bi Somoe Abdallah (KULIA)Akiwa na Bi Fatuma Ismail na Bi Esha Hussein Kassembe wakiwa kati kambi hiyo ambapo Wana Mtandao
walijitolea kufanya Usafi na Kutoa misaada mbalimbali 
TPF NET 4 f55e1
                mtandao wa Polisi wakiendelea na zoezi la usafi)