Monday 8 July 2019

HATIMAE IMEKUWA ,Mr & Mrs JAFFARY,BONGE LA SHEREHE YA KUPONGEZWA UKUMBI WA LINAS BUKOBA.

 Ni moja ya harusi ya kipee sana kufanyika katika mwaka huu katika Manispaa ya Bukoba,Bw Jaffary na Bi shamila wameamua kutimiza ahadi zao na kufunga ndoa,Hongereni sana maharusi.
 Kamati ya mapokezi.
 Super Mkude na mkewe,familia kwa ujumla wakiingia ukumbini.
 Moderm Mumy wakiingia ukumbini.
Kwa raha zako dada

No comments:

Post a Comment