Saturday 8 August 2015

ILIKUWA NI SHANGWE BW HUSEIN THALHA NA BI HAMIDA,BW SHARIFU KACHWAMBA NA BI FATMA TWALHA KUFUNGA NDOA

Kushoto ni Bw Husein Twalha na mkewe Hamida Munisi wakiwa na katika picha ya pamoja na maharusi wenzao Bw Sharif Kachwamba na Bi  Fatma Twalha..
kulia ni Shekhe wa Mkoa wa Kagera Haruna kichwabuta.
Bw optat Katibu.
Mc Saad Katoma akiwajibika.
Mulid ikisomwa.
Bw Husein Twalha akiwa na mkewe.
Bw Harusi nae akaonyesha ujuzi wake katika kupiga lika.
Kushoto shekhe Mustaph akisalimiana na shekhe Kichwabuta.
Bw Rashid Twalha(KULIA)
Mwanamke smiling

Shekhe Haruna akitoa somo kuhusu ndoa na mapana yake.
Bw Rashid soma la shekhe likamgusa.
Ikafungushwa nikkah ya bw Sharif Kachwamba na Bi Fatma Twalha.
karibu raazizi wangu.
Karibu mutima wangu.
Bibi akimpongeza mjukuu.
Familia.
Zawadi time.


Bi Ashura katika ubora wake, kapata wifi.