Friday 20 January 2017

RAIS DKT. MAGUFULI AWAAPISHA MABALOZI SITA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM


 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  akimuapisha Dkt. Emanuel Nchimbi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Brazili, Ikulu jijini Dar es Salaam leo Ijumaa Januari 20, 2017.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. James Msekela  kuwa Balozi wa Tanzania Geneva –Umoja wa Mataifa, Ikulu jijini Dar es Salaam leo Ijumaa Januari 20, 2017.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Mhe. Mbelwa Kairuki kuwa Balozi wa Tanzania nchini China, Ikulu jijini Dar es salaam leo Ijumaa Januari 20, 2017.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Mhe. George Madafa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia leo Ijumaa Januari 20, 2017.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Profesa Elizabeth Kiondo kuwa Balozi wa Tanzania nchini Uturuki leo Ijumaa Januari 20, 2017.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Fatma Rajab  kuwa balozi wa Tanzania nchini Qatar, Ikulu jijini Dar es Salaam leo Ijumaa Januari 20, 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza machache baada ya kuwaapisha mabalozi hao Ikulu jijini Dar es Salaam leo Ijumaa Januari 20, 2017. Picha na IKULU

WAZIRI NAPE AKUTANA NA WADAU SEKTA YA FILAMU


Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Nape Moses Nnauye akiongea na wadau katika sekta ya filamu alipokutana nao kujadili changamoto za sekta hiyo na jinsi ya kupambana na maharamia wa kazi za wasani na kuwatoa hofu juu ya wasiwasi wao wa Mali zilizowahi kukamatwa kuwa zimerudishwa kwa wahusika.
Wadau wa Sekta ya Filamu wakimsikiliza Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Nape Moses Nnauye alipokutana nao  Jijini Dar es salaam.
Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Nape Moses Nnauye akimsikiliza Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Bw. Simon Mwakifamba


Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Nape Moses Nnauye akiangalia kazi haramu za wasanii zilizokamatwa kwa wasambazaji zilizopo katika ghala la kampuni ya madalali ya YONO iliyopo Ilala Bungoni.
Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Nape Moses Nnauye akiangalia mashine ya kudurufu santuri za muziki na video wasambazaji zilizopo katika ghala la kampuni ya madalali ya YONO iliyopo Ilala Bungoni.

Monday 16 January 2017

BONGE LA SHEREHE SERENA HOTEL DAR,EMMANUEL SAKWANDA NA JUDITH JUSTIN LAMBERT HONGERENI,UFUNGUA UJIONEE MWENYEWE..
















































 Katika burudani Saida na kundu lake walitumbuiza.

 Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi mh Rashid Othuman akitoa neno la shukrani kwa waalikwa.
 Kamati ya maandalizi ikitambulishwa.
 Jodarn Lambert katika ubora wake.
 Bendi kutoka Tanga ikawainua waalikwa.

 Balozi Mberwa Kairuki akiwa na mkewe mh waziri Angela Kairuki.
 Burudani
 Bw Anic Kashasha(MSHENGA) akipata kitu supu.
 Muonekano na mpangilio ilikuwa ni kivutio tosha cha utalii.
 Bw Harusi na Bi harusi katika muonekano wa vazi tofauti.

 Bw Kashasha akiwa na mke wake akicheza ngoma ya saida Kaloli akiwa live.
 Blogger akaweka kamera chini , nae akapigwa picha akicheza ngoma ya saida Kaloli,ilikuwa ni shidaaa..

 Wafanyakazi wa Junaco katika ubora wao.



 Bibi akitoa zawadi.
 Balozi Diodorus Kamala(kulia) akiwa na Dr Frank.
 Kushoto ni Mh Marsha akiwa na mh mbunge wa baraza la wawakilishi Zanzibar.
 Familia ya Bw Anic Kashasha.
 Mh Jaji mkuu wa Tanzania Othuman Chande akiwa na Bw Anic Kashasha katika ukumbi wa Serena hotel, ni miongoni mwa wageni maarufu walioudhuria.
 Bw Robert Matungwa akisalimiana na jaji mkuu wa Tanzania.
 Mrs Justin Lambert(kulia) akifurahia kitu.
 Wajumbe wa kamati.
 Mh Protas Ishengoma katika ubora wake.
 Bw Justin Lambert akiwa na Jaji mkuu wa Tanzania.