Thursday 21 April 2016

EDINA KOKUMANYIKA AFANYIWA SEND OFF BUKOBA CLUB

 Ni Bi Edina Edmund kkatika ubora wake, ilikuwa ni sherehe ya kumuaga iliyofanyika katika ukumbi wa Bukoba club na kuudhuliwa na mamia ya wakazi mbalimbali wa Manispaa ya Bukoba na pande tofauti, Bi Edina anaetarajia kufunga pingu za maisha na kijana David Issaya 22-4-2016 ktk kanisa katoliki la cathedal Bukoba mjini.
 Mwenyekiti Bw Blandes akifungua sherehe.
 Bi Edina akiwa na bw David mme wake mtarajiwa.
 Wazazi wakipokea keki.
 Mkao...
 Macho.. ila ni mtu na mkewe.
 Baba akitoa neno.
 Wanabukoba group wakitoa neno kwa bi harusi mtarajiwa, mwanachama mwenzao, na zawadi pia.
 Mc Rutakwa katika ubora wake.
 Wanakamati.
 Wanakamati.
 Mwenyekiti wa kamati akikabidhi zawadi ya kamati kwa mtarajiwa.
 Bw Edmund akiwa na wapendwa wake.
 Baba mzaa chema akihojiwa na mc Bw Rutakwa.
 Ndugu watatu.
 Mc Baraka wa kwanza kulia akiwa na furaha akiwa na baba mzaa chema.

 Bw Edmund akiwa na mama mzaa chema.
 Mama Mary Kalikawe akiwa na mmewe.
Jamcobukoba.blogspot.com inawatakia maandalizi mema ya ndoa 22-4-2016.