Saturday 8 February 2014

YANGA HATAREEEEE YAICHAPA KOMOROZINE MABAO 7-0 UWANJA WA TAIFA LEO


 Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa, akiruka kupiga mpira wa kichwa na kufunga bao la kwanza katika dakika ya 13 kipindi cha kwanza. Katika mchezo huo wa Klabu Bingwa Barani Afrika kati ya Yanga dhidi ya Komorozine ya Comorro, uliomalizika hivi punde kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Yanga imeibuka na ushindi wa mabao 7-0.  

Ngassa alipachika mabao matatu kati ya saba katika dakika za 13, 64 na 68. Bao la pili lilifungwa na Nadir Haroub, katika dakika ya 16, Didier Kavumbagu, dakika ya 57 na 80 na Hamis Kiiza, akifunga katika dakika ya 59.
 Goooo, bao la kwanza Ngassa akimgalagaza kipa wa Komorozine....
 Goooooo, bao la pili likifungwa na Canavaro.
 Wakishangilia moja kati ya mabao yao....
 David Luhende, akiwania mpira na kipa wa Komorozine....
 Mrisho Ngasa akishangilia bao lake la tatu....
 Sehemu ya mashabiki
 Ngasa akishangilia na Oscar Joshua.....
 Wakomorozine hoi baada ya kipigo hicho.....
 Ubao wa matangazo unavyosomeka hadi mwisho wa mchezo huo.
 Makocha wakipongezana baada ya mchezo huo....
 Mbuyu Twite akichezewa faulo.....
 Hamis Kiiza akiwania mpira na beki wa Komorozine....
 Haruna Niyonzima, akimfanya kitu mbaya beki wa Komorozine....

*YANGA INAONGOZA MABAO 2-0 UWANJA WA TAIFA DHIDI YA KOMOROZINE

 Nahodha wa timu ya Yanga, Nadir Haroub 'Canavaro', akijikunja kupiga mpira wa kichwa cha chini na kufunga bao la pili, baada ya mpira wa adhabu uliopigwa na David Luhende baada ya Mbuyu Twite, kuchezewa Faulo na beki wa Komorozine, Ali Mohamed. Bao la kwanza lilifungwa na Mrisho Ngasa, akiunganisha mpira wa Krosi iliyopigwa na Simon Msuva.
 Mshambuliaji wa Yanga, Hamis Kiiza, akijaribu kuuwahi mpira mbele ya beki wa Komorozine, wakati wa mchezo huo kipindi cha kwanza.
Wachezaji wa Yanga, wakicheza kushangilia bao la kwanza lililofungwa na Mrisho Ngasa (katikati).

*WANAOANZA KUWAKIMBIZA WAKOMORO UWANJA WA TAIFA MUDA HUU

 Kocha wa Makipa Juma Pondamali, akiwafua makipa Deogratius Munishi na Juma Kaseja, wakati wa kupasha misuri moto. 

Timu zote hivi sasa zinaingia uwanjani tayari kabisa kwa kukaguliwa kuanza mtanange huo.

VIKOSI VINAVYOANZA
YANGA:- Juma Kaseja, Mbuyu Twite, Oscar Joshua, Nadir Haroub (c), Kelvin Yondani, Frank Domayo, Simon Msuva, Haruna Niyonzima, Hamis Kiiza, Mrisho Ngassa na David Luhende.

RIZEVU:- Deogratius Munishi, Rajab Zahir, Nizar Khalfan, Didier Kavumbagu, Juma Abdul, Hussein Javu, na Hassan Dilunga.

WACOMORO:- Attoumani Farid, Ali Mohamed, Nizar Amir, Abdou Moussoidikou, Ahamadi Houmadi Anli, Moidjie Ali, Mortadhoi Fayssoil, Attoumane Omar, Mohamed Erfeda (c), Mouayade Almansoor na Ahmed Waladi.
 Wachezaji wa Yanga wakiingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo baada ya kupasha misuri
 Wachezaji wa Comorro, wakiingia vyumbani....
Sehemu ya mashabiki.

Friday 7 February 2014

MAJINA YA WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA LITAKALOANZA TAREHE 18 FEBRUARY 2014!


MAJINA YA WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA LITAKALOANZA TAREHE 18 FEBRUARY 2014!

TAASISI ZISIZOKUWA ZA KISERIKALI- (WAJUMBE 20)
TANZANIA BARA (13)
1. Magdalena Rwebangira 2. Kingunge Ngombale Mwiru
3. Asha D. Mtwangi 4. Maria Sarungi Tsehai
5. Paul Kimiti 6. Valerie N. Msoka
7. Fortunate Moses Kabeja 8. Sixtus Raphael Mapunda
9. Elizabeth Maro Minde 10. Happiness Samson Sengi
11. Evod Herman Mmanda 12. Godfrey Simbeye
13. Mary Paul Daffa
TANZANIA ZANZIBAR (7)
1. Idrissa Kitwana Mustafa 2. Siti Abbas Ali
3. Abdalla Abass Omar 4. Salama Aboud Talib
5. Juma Bakari Alawi 6. Salma Hamoud Said
7. Adila Hilali Vuai

TAASISI ZA KIDINI- (WAJUMBE 20)
TANZANIA BARA (13)
1. Tamrina Manzi 2. Olive Damian Luwena
3. Shamim Khan 4. Mchg. Ernest Kadiva
5. Sheikh Hamid Masoud Jongo 6. Askofu Mkuu (Mstaafu) Donald Leo Mtetemela
7. Magdalena Songora 8. Hamisi Ally Togwa
9. Askofu Amos J. Muhagachi 10. Easter Msambazi
11. Mussa Yusuf Kundecha 12. Respa Adam Miguma
13. Prof. Costa Ricky Mahalu
TANZANIA ZANZIBAR (7)
1. Sheikh Thabit Nouman Jongo 2. Suzana Peter Kunambi
3. Sheikh Nassoro Mohammed Ibrahimu 4. Fatma Mohammed Hassan
5. Louis Majaliwa 6. Yasmin Yusufali E. H alloo
7. Thuwein Issa Thuwein

VYAMA VYOTE VYA SIASA
VYENYE USAJILI WA KUDUMU – (WAJUMBE 42)
TANZANIA BARA (28)
1. Hashim Rungwe Spunda 2. Thomas Magnus Mgoli
3. Rashid Hashim Mtuta 4. Shamsa Mwangunga
5. Yusuf S. Manyanga 6. Christopher Mtikila
7. Bertha Ng’angompata 8. Suzan Marwa
9. Dominick Abraham Lyamchai 10. Mbwana Salum Kibanda
11. Peter Kuga Mziray 12. Isaac Manjoba Cheyo
13. Dr. Emmanuel John Makaidi 14. Prof. Ibrahim Haruna Lipumba
15. Modesta Kizito Ponera 16. Prof. Abdallah Safari
17. Salumu Seleman Ally 18. James Kabalo Mapalala
19. Mary Oswald Mpangala 20. Mwaka Lameck Mgimwa
21. Nancy S. Mrikaria 22. Nakazael Lukio Tenga
23. Fahmi Nasoro Dovutwa 24. Costantine Benjamini Akitanda
25. Mary Moses Daudi 26. Magdalena Likwina
27. John Dustan Lifa Chipaka 28. Rashid Mohamed Ligania Rai
TANZANIA ZANZIBAR (14)
1. Ally Omar Juma 2. Vuai Ali Vuai
3. Mwanaidi Othman Twahir 4. Jamila Abeid Saleh
5. Mwanamrisho Juma Ahmed 6. Juma Hamis Faki
7. Tatu Mabrouk Haji 8. Fat –Hiya Zahran Salum
9. Hussein Juma 10. Zeudi Mvano Abdullahi
11. Juma Ally Khatibu 12. Haji Ambar Khamis
13. Khadija Abdallah Ahmed 14. Rashid Yussuf Mchenga

TAASISI ZA ELIMU- (WAJUMBE 20)
TANZANIA BARA
1. Dr. Suzan Kolimba 2. Prof. Esther Daniel Mwaikambo
3. Dr. Natujwa Mvungi 4. Prof. Romuald Haule
5. Dr. Domitila A.R. Bashemera 6. Dr. Jasmine Bendantunguka Tiisekwa
7. Prof. Bernadeta Kilian 8. Teddy Ladislaus Patrick
9. Dr. Francis Michael 10. Prof. Remmy J. Assey
11. Dr. Tulia Ackson 12. Dr. Ave Maria Emilius Semakafu
13. Hamza Mustafa Njozi
TANZANIA ZANZIBAR (7)
1. Makame Omar Makame 2. Fatma Hamid Saleh
3. Dr. Aley Soud Nassor 4. Layla Ali Salum
5. Dkt. Mwinyi Talib Haji 6. Zeyana Mohamed Haji
7. Ali Ahmed Uki

WATU WENYE ULEMAVU-(WAJUMBE 20)
TANZANIA BARA (13)
1. Zuhura Musa Lusonge 2. Frederick Msigala
3. Amon Anastaz Mpanju 4. Bure Zahran
5. Edith Aron Dosha 6. Vincent Venance Mzena
7. Shida Salum Mohamed 8. Dr. Henry Mwizengwa Nyamubi.
9. Elias Msiba Masamaki 10. Faustina Jonathan Urassa
11. Doroth Stephano Malelela 12. John Josephat Ndumbaro
13. Ernest Njama Kimaya
TANZANIA ZANZIBAR (7)
1. Haidar Hashim Madeweyya 2. Alli Omar Makame
3. Adil Mohammed Ali 4. Mwandawa Khamis Mohammed
5. Salim Abdalla Salim 6. Salma Haji Saadat
7. Mwantatu Mbarak Khamis

VYAMA VYA WAFANYAKAZI-(WAJUMBE 19)
TANZANIA BARA (13)
1. Honorata Chitanda 2. Dr. Angelika Semike
3. Ezekiah Tom Oluoch 4. Adelgunda Michael Mgaya
5. Dotto M. Biteko 6. Mary Gaspar Makondo
7. Halfani Shabani Muhogo 8. Yusufu Omari Singo
9. Joyce Mwasha 10. Amina Mweta
11. Mbaraka Hussein Igangula 12. Aina Shadrack Massawe
13. Lucas Charles Malunde
TANZANIA ZANZIBAR (6)
1. Khamis Mwinyi Mohamed 2. Jina Hassan Silima
3. Makame Launi Makame 4. Asmahany Juma Ali
5. Mwatoum Khamis Othman 6. Rihi Haji Ali

VYAMA VINAVYOWAKILISHAWAFUGAJI-(WAJUMBE 10)
TANZANIA BARA (7)
1. William Tate Olenasha 2. Makeresia Pawa
3. Mabagda Gesura Mwataghu 4. Doreen Maro
5. Magret Nyaga 6. Hamis Mnondwa
7. Ester Milimba Juma
TANZANIA ZANZIBAR (3)
1. Said Abdalla Bakari 2. Mashavu Yahya
3. Zubeir Sufiani Mkanga

VYAMA VINAVYOWAKILISHAWAVUVI –(WAJUMBE 10)
TANZANIA BARA (7)
1. Hawa A. Mchafu 2. Rebecca Masato
3. Thomas Juma Minyaro 4. Timtoza Bagambise
5. Tedy Malulu 6. Rebecca Bugingo
7. Omary S. Husseni
TANZANIA ZANZIBAR (3)
1. Waziri Rajab 2. Issa Ameir Suleiman
3. Mohamed Abdallah Ahmed

VYAMA VYAWAKULIMA-(WAJUMBE 20)
TANZANIA BARA (13)
1. Agatha Harun Senyagwa 2. Veronica Sophu
3. Shaban Suleman Muyombo 4. Catherine Gabriel Sisuti
5. Hamisi Hassani Dambaya 6. Suzy Samson Laizer
7. Dr. Maselle Zingura Maziku 8. Abdallah Mashausi
9. Hadijah Milawo Kondo 10. Rehema Madusa
11. Reuben R. Matango 12. Happy Suma
13. Zainab Bakari Dihenga
TANZANIA ZANZIBAR (7)
1. Saleh Moh’d Saleh 2. Biubwa Yahya Othman
3. Khamis Mohammed Salum 4. Khadija Nassor Abdi
5. Fatma Haji Khamis 6. Asha Makungu Othman
7. Asya Filfil Thani

WATU WENYE MALENGO YANAYOFANANA – (WAJUMBE 20)
TANZANIA BARA (14)
1. Dr. Christina Mnzava 2. Paulo Christian Makonda
3. Jesca Msambatavangu 4. Julius Mtatiro
5. Katherin Saruni 6. Abdallah Majura Bulembo
7. Hemedi Abdallah Panzi 8. Dr. Zainab Amir Gama
9. Hassan Mohamed Wakasuvi 10. Paulynus Raymond Mtendah
11. Almasi Athuman Maige 12. Pamela Simon Massay
13. Kajubi Diocres Mukajangwa 14. Kadari Singo
TANZANIA ZANZIBAR (6)
1. Yussuf Omar Chunda 2. Fatma Mussa Juma
3. Prof. Abdul Sheriff 4. Amina Abdulkadir Ali
5. Shaka Hamdu Shaka 6. Rehema Said Shamte

BREAKING NEWS...MTU ALIETAMBULIWA KWA JINA BAHATI AKUTWA KAJINYONGA UFUKWE WA SPICE MOTEL BEACH HIVI PUNDE.

 Mtu mmoja alietambulika kwa jina moja la Bahati maarufu kwa uuzaji wa mifuko ya plastiki maeneo ya stand kuu ya mabasi Bukoba amekutwa kajinyonga juu ya mti kama unavyoona maeneo ya ufukwe wa Spice Motel majira ya saa nane mchana huu, Taarifa za awali  kutoka kwa watu waliokuwa katika tukio hilo wanasema , kabla ya kifo cha marehemu walipita eneo hilo marehemu alionekana akiwa na mafurushi ya vitu na alikuwa akifua katika eneo hilo la ufukwe,Mtu mmoja ambae hakuwa tayari kutaja jina lake amesema leo majira ya saa 12.00asubuhi amesalimiana na marehemu maeneo ya stand ya mabasi akiendelea na shughuli yake ya kutembeza mifuko ya plastiki kwenye mabasi yanayokwenda  mikoani na maeneo mengine akiwa mzima wa afya.Mwili wa marehemu umepelekwa Hospital ya Mkoa  wa Kagera kuifadhiwa kwa ajili ya kutambua ndugu wa marehemu.
 Askari akiwa amepanda mti ili aweze kukata kamba aliyotumia kujinyonga
 Amekutwa katika hali hii
 Haijafahamika ni wa nini kachukua maamuzi haya
 Mwili wa marehemu ukishushwa
 Kamanda wa polisi wilaya ya Bukoba akishuhudia tukio
 Wananchi waliokusanyika katika tukio
 Mkuu wa kituo cha polisi Bukoba(mwenye koti) akiwa anaangalia baadhi uya vitu vya marehemu alivyokuja navyo kabla ya kujinyonga
 Hivi ni vitu vya marehemu alivyokuja navyo babla ya kujinyonga
 Maeneo ya spice beach
 Mmoja wa watu wa kwanza kutoa taarifa kituo cha polisi Mma Faima
 Mwili wa marehemu ukipakiwa kwenye gari la polisi
Mwili wa marehemu ukipelekwa kuifadhiwa hospital ya mkoa wa kagera

ANGALIA JEURI YA FEDHA,,SHATI LA AJABU LENYE THAMANI YA T.SH. MILIONI 450,WATU MAISHA YAMEWAFIKISHA HAPO



Kwa mujibu wa chanzo toka BBC SHATI HILI LINAGHARIMU KIASI dola [$250,000] Jamaa huyu anayefahamika kama Rajini Vaidyanathan a.k.a "The Gold Man" hili tukio liliwaacha baadhi ya watu midomo wazi na kuwaacha wakijiuliza maswali kadhaa kuhusu jamaa huyu.

Thursday 6 February 2014

CAMERA YETU MITAA TOFAUTI LEO BUKOBA

 Camera yetu ofisi za precision Air nakutana na mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya Valentine  Mr Bube (Mkurugenzi wa Leoleo) itakayofanyika ukumbi wa lina's ijumaa ya tarehe 14-2-2014 akimpa mpango mzima Bi Sara mambo yatakavyokuwa tofauti na siku zote,hakika safari hii upele umepata mkunaji wahi tiketi yako mapema kwa 30,000 elfu, utapata chakula, vinywaji, na zawadi ,bila kusahau mipangilio iliyoandaliwa vizuri
 Chezeee  weweee
 Binti kwa raha zake
 wanaitwa mabalozi wa voda, mmoja kajificha,tunapataje maelezo yake wakati camera tu kaikimbia, watu wakitaka kujua maeleza na kazi anazofanya inakuaje?
 Heshima ya mtu kazi,mwanamke kuwajibika
 Nkango utawapata
 Mtaalamu wa Supu
 Na mtoto jamani awemo.... Ni mtu mmoja anaitwa Masauti
 Kijana akiwajibika
 Camera yetu inakutana na kijana mtaalamu wa kusuka nywele za akina mama akiwajibika
 Ujihita  handsome Boy wa Bukoba,maarufu wa kuuza Dvd,Cd za filamu mbalimbali akiwa kazini
 Wauzaji wa vifaa vya ndani,wapo Miembeni
 Mitaa ya miembeni
 Kijana akiwajibika
 Mh Kagasheki akimjulia hali Bi Amina Sued katika hospital ya St Tereza
 Mh Kagasheki akimjulia hali mmoja wa wagonjwa katika Hospital ya St Tereza
 Bw Sande konyagi akijulia hali wagonjwa
Ni katika Hospital ya Bugimbi ,kijana kushoto anaitwa Jerry, Ernest na bwana harusi mtarajiwa Wilson wakijulia hali wagonjwa, je wewe utaratibu huu unao?