Friday 29 January 2016

NYUMBA INAUZWA,IKO KASHAI KASHENYE BUKOBA.

 Nyumba nzuri yenye vyumba vitatu vya kulala na kimoja wapo ni master bedroom,ina sebule kubwa ya kisasa, sehemu ya kulia chakula kubwa na ya kisasa, Jiko, store,public toilet, Bafu ,imeungana na nyumba ya nyuma ambayo unaweza kufanyia matumizi kadri utakavyoamua na uwanja mkubwa kwa ajili ya kuanika nguo au matumizi mengine, Nyumba hii Land; Plot no 159, blok 'AA' Kashai Kashenye Bukoba mjelezoini, Certificate of tittle;9930 Nyumba unaweza kuifanya kwa matumizi yoyote utakavyohitaji iko eneo zuri barabarani  kwa maelezo zaidi wasiliana kwa namba  0713-481813.

 Nyumba iko imara.
 sehemu ya pembeni imeungana na nyumba ya nyuma.
 Hii ni nyumba ya nyuma.
 Sehemu ya mbele ya kuingia ndani.
Kwa mawasiliano zaidi piga no 0713-481813.

DK. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA BALOZI WA UFARANSA, MAKAO MAKUU YA CCM, DAR ES SALAAM

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, anayeshughulika na Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI) Ndugu Asha-Rose Migiro, akimkaribisha Balozi wa Ufaransa  Nchini Tanzania, Malika Berak, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Dar es Salaam, leo
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, anayeshughulika na Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI) Ndugu Asha-Rose Migiro, akizungumza na Balozi wa Ufaransa  Nchini Tanzania, Malika Berak, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Dar es Salaam, leo
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, anayeshughulika na Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI) Ndugu Asha-Rose Migiro, akizungumza na Balozi wa Ufaransa  Nchini Tanzania, Malika Berak, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Dar es Salaam, leo
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, anayeshughulika na Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI) Ndugu Asha-Rose Migiro, akizungumza na Balozi wa Ufaransa  Nchini Tanzania, Malika Berak, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Dar es Salaam, leo
Balozi akisaini kitabu cha wageni
Balozi akisaini kitabu wa wageni
Mazungumzo yakiendelea
Balozi huyo akimsalimia Ofisa wa Chama katika Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI), Gift Msuya
Balozi huyo akimsalimia Ofisa wa Chama katika Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI), Salehe Mhando
Wakijiweka sawa kwaajili ya kuendelea na mazungumzo
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, anayeshughulika na Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI) Ndugu Asha-Rose Migiro, akizungumza na Balozi wa Ufaransa  Nchini Tanzania, Malika Berak, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Dar es Salaam.