Saturday 5 July 2014

YALIYOJIRI KWENYE ONYESHO LA MUZIKI WA SAMBA REGGE NA SAKARASI LILILOFAYIKA MBURAHATI KWA JONGO


Baadhi ya Watoto wakionyesha ujuzi wa kucheza sarakasi kwenye uwanja wa Kasulu, Mburahati kwa Jongo wakati wa onyesho la kuhitimisha warsha ya sarakasi na ngoma za samba regge iliyoandaiwa na kituo cha Baba Watoto kupitia mradi wa Fit For Life.
Ngoma za samba regge kutoka Brasili zikichezwa kwenye uwanja wa Kasulu, Mburahati kwa Jongo
 Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Godfrey Mngereza akitoa hatuba yake kwa wananchi na wapenzi wa muziki na sarakasi waliofika kwenye onyesho hilo.
Mkurugenzi wa Kituo cha Utamaduni cha Ujerumani cha Goethe Institut ambaye pia ni Mkurugenzi wa mradi wa fiti for life, Eleonore Sylla akisema machache wakati wa onyesho la kuhitimisha warsha ya sarakasi na ngoma za samba regge kupitia mradi wa Fit For Life
Mratibu wa kimataifa wa mradi wa Fit for life, Daniela Titze akisema machache wakati wa onyesho la kuhitimisha warsha ya sarakasi na ngoma za samba regge kupitia mradi wa Fit For Life
Meneja Mradi wa Fit fr life, Habiba Issa akitoa maelezo kuhusu mradi huo wakati wa onyesho la kuhitimisha warsha ya sarakasi na ngoma za samba regge kupitia mradi wa Fit For Life
 Kutoka kulia ni Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA, Godfrey Mngereza, Mkurugenzi wa Kituo cha Utamaduni cha Ujerumani cha Goethe Institut ambaye pia ni Mkurugenzi wa mradi wa fiti for life, Eleonore Sylla, Mratibu wa kimataifa wa mradi wa Fit for life, Daniela Titze na Meneja Mradi wa Fit fr life, Habiba Issa wakifurahia jamb wakati wa onyesho hilo
Mkurugenzi wa Kituo cha Baba watoto, Mgunga Mwa Mnyenyelwa akiteta jambo na Mkurugenzi wa Kituo cha Utamaduni cha Ujerumani cha Goethe Institut, Eleonore Sylla ambaye pia ni Mkurugenzi wa mradi wa fiti for life na Mratibu wa kimataifa wa mradi huo, Daniela Titze
Watoto hao wakionyesha upigaji wa ngoma za samba regge wakati wa kuhitimisha warsha ya muziki wa samba regge na sarakasi inayofanyika kupitia mradi wa fit for life ambayo imewashirikisha watoto walio kwenye mazingira magumu kati ya umri wa miaka 10 hadi 25 imefadhiliwa na umoja wa ulaya (EU) na kusimamiwa na kituo cha Utamaduni cha Ujerumani Goethe-Institut kwa ubia na Ufa-Fabrik ya Ujerumani na Parapanda Theatre.
Maujuzi yakiendelea pande hizo...
''Tutaelewa tuuu''

REDD'S MISS KAGERA 2014 WAREMBO 18 KUCHUANA 2-8-2014 KATIKA UKUMBI WA LINA'S


HII SI YA KUKOSA MTU WANGU,UPANDE WA BURUDANI  KUNZI ZIMA LA WADADA KUTOKA NCHINI UGANDA THE DREAM GIRL'S WATAWASHA MOTO BILA KUWASAHAU KUNDI ZIMA LA FUTUHI WA STAR TV ANDAA MBAVU ZAKO KWA KUCHEKA NA SHOW KIBAO WAMEKUANDALIA, NI LINA'S 2-8-2014  KIINGILIO NI 15,000 TU.

Thursday 3 July 2014

SHEREHE YA KUMUAGA BI CELINA KAJERELO ALIESTAAFU UTUMISHI WA UMMA HOSPITAL YA MKOA KAGERA

 Bi Celina kajerelo katika picha aliekuwa  akifanya kazi kama muuguzi katika hospital ya Mkoa wa Kagera

 Watoto wa muagwa wakimpa mama yao zawadi na kumpongeza kwa kuwalea na kuwasomesha
 Baadhi ya wageni waalikwa katika ukumbi wa Lina's
 Wajukuu wakiwa wametangulia muagwa akiingia ukumbini
 Mwenyekiti wa sherehe akifungua
 Neno la dini likatolewa
 Aliet akiwa na mdogo wake watoto wa muagwa
 MJUKUU WA MUAGWA
 Ikachezwa ngoma kwa raha zao
 Wajukuu wakimuimbia bibi yao
 Kushoto ni Muuguzi mkuu akiwa na muagwa
 Zawadi time...
 Watoto wakamwagia mama yao zawadi za ukweli..
 CHADELVA Hope Makoko sambamba na Lily
 Msosi time...


Ongera sana mama yetu kwa kustaafu