Monday 21 December 2015

MTOTO LOREEN ANGWI APATA UBATIZO.

 Ni mtoto Loreen Angwi akiwa amebebwa na mama yake Jovither Mushashu, na pembeni mama wa ubatizo, muda mchache baada ya mtoto kubatizwa.
 Mtoto Loreen mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi kadhaa katika ubora wake.
 Hapo lugha zaidi ni Kijerumani kinahusika...
 Kabla ya kuingia kanisani mama wa ubatizo akijifunza baadhi ya maneno ya kiswahili.
 kwaya.
 Baba Paroko akiendelea na misa takatifu.
 Wakiingia kanisani, pande za Karagwe.
 Kulia mama mzazi wa Jovither akiwa kanisani.
 Mwenye kaunda suti ni baba mzazi wa Jovither.
 Mama wa ubatizo akatoa neno la shukrani kanisani, Mtoto Loreen kazaliwa Ujerumani na kapatia ubatizo Kagera Karagwe .
 Mama wa LOREEN akapeleka shukrani kwa padre kwenye bahasha iliyojaa uro.
 Pendeza sana.
 Shubi katika ubora wake na hasa anapoongea na mtu muhimu kwake.
 Maisha yakiendelea ukumbini .
 Jovither akapata wasaa wa kuwashukuru wageni waalikwa.
 Baada ya maneno ,chakula cha kila aina.
 Ishara ya chakula  kuwa kitamu kabla ya kukira ni kufurahi.
 Kutoka ujerumani mpaka karagwe, hakika ni mapenzi makubwa.
 Keki ikakatwa.
Nilishe nikulishe tuonyeshe tunavyopendana.

KUMBUKUMBU YA MWAKA MMOJA YA MAREHEMU GOLLETHA RWEYEMAMU,IBADA YA MISA YAFANYIKA HUKO KISHOJU NSHAMBA.

 Ni mwaka mmoja sasa tangu Ma Golletha Rweyemamu aiage dunia, Familia ya Adv Josephat Rweyemamu imekutana kijijini Kishoju Nshamba Muleba katika ibada takatifu ya kumkumbuka Ma Golletha.
 Kulia Mzee Josephat Rweyemamu(mume wa marehemu) kaka wa marehemu na Mtoto wa marehemu Radi Rweyemamu wakiteta kitu.
 Kushoto Mrs Radi.
 Waalikwa.
 Wageni walitoka pande tofauti ,wakiwemo na wakwe.
 Kwaya katika ubora wao.
 Mapadre wakiwa katika ibada.
 Jamco video production wakiwa kazini.
 Mzee Rweyemamu akiweka mshumaa kaburini.
 Mzee Rweyemamu akitoa machozi pale alipotoa neno la shukrani kwa wageni waalikwa pale alipomkumbuka mke wake.





Endelea kuangalia jamcobukoba.blogspot.com.