Wednesday 9 September 2015

MKAPA ASEMA USHINDI KWA CCM NI LAZIMA,NI KATIKA UFUNGUZI WA KAMPENI JIMBO LA BUKOBA MJINI.

 Rais mstaafu wa awamu ya tatu Benjamin William Mkapa akiwa kwenye mkutano wa kampeni ya uzinduzi Mkoa wa Kagera akimkabidhi Irani ya uchaguzi ya ccm 2015-2020 mgombea ubunge jimbo la Muleba Kaskazini Charles Mwijage kwa niaba ya wagombea ubunge wote Mkoa wa kagera,Mh Mkapa amesema ushindi wa ccm ni lazima kwa sababu imefanya mengi na kuleta maendelea katika Taifa la Tanzania.
 Mkuu wa Mkoa wa Kagera John Mongella akiwa na katibu wa ccm mkoa Kagera wakiteta kwenye uwanja wa ndege Bukoba.
 Mzee Mkapa akiwasili uwanja wa ndege.
 Mzee Mkapa akisalimiana na Balozi Kagasheki.
M
 Mzee Mkapa akisalimiana na mh Mwijage.
 Mh Kagasheki akisalimiana na mh Karamagi.


 Mzee Mkapa akiingia uwanja wa uhuru plat form
 Balozi Diodorus Kamala mgombea ubunge jimbo la Nkenge.
 Mgombea jimbo la Karagwe kayanga.
 Mgombea jimbo la Kyerwa



No comments:

Post a Comment