Sunday 6 September 2015

RAIS MSTAAFU MZEE BENJAMIN MKAPA KUZINDUA KAMPENI ZA CCM KATIKA JIMBO LA BUKOBA MJINI 8-9-2015 UHURU PLATFORM

 Rais mstaafu wa awamu ya  tatu mzee Benjamini William Mkapa atazindua kampeni za Ccm Kimkoa katika jimbo la Bukoba Mjini siku ya jumanne 8-9-2015 majira ya saa tisa alasiri katika uwanja wa mashujaa Uhuru platform.Mh Mkapa pia atazindua kampeni rasmi za jimbo la Bukoba mjini kwa kumnadi mgombea Ubunge Balozi Khamis Sued Kagasheki na wagombea wa majimbo mengine manane katika Mkoa wa Kagera.
 Kushoto ni Balozi Kagasheki akiwa na  mgombea urais Pombe John Magufuli.
 Mgombea Ubunge Jimbo la Muleba Kusini Prof Anna Tibaijuka
Wananchi wote mnaobwa kujitokeza kwa wingi.

No comments:

Post a Comment