Thursday 17 May 2018

WAZIRI JAFO AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA WODI YA MAMA NA MTOTO, ZAHANATI YA MARUKU BUKOBA VIJIJINI.

 Ilikuwa na shangwe , nderemo na vifijo katika kijiji cha Maruku Bukoba vijijini pale Waziri wa Nchi,ofisi ya Rais,tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Selemani Said Jafo alipofika na kujumuika na wananchi na kuweka jiwe la msingi katika ujenzi wa wodi ya mama na mtoto katika Zahanati ya Maruku.(Katika picha kushoto ni Mkuu wa Mkoa Kagera Meja jenerali mstaafu Salum Kijuu,  Mbunge wa  Bukoba Vijijini Jason Rweikiza na Waziri wac Tamisemi Suleimani Said Jaffo.)
 Muonekano wa jengo la wodi ya mama na mtoto.
 Fundi akiendelea na kazi.
 Kazi ikiendelea.
 Bw Kamuntu Mc wa shughuli.
 Wananchi waliojitokeza kwenye hafla.
 Kamati ya maandalizi ikiweka mambo sawa.
 Waziri Jafo akiwasili eneo la tukio.
 Viongozi wa dini akifungua kwa sara na dua.
 Mh Mbunge wa jimbo la Bukoba  Vijijini Jason Rwaikeza.

Endelea kufuatilia jamcobukoba.blogspot.com.