Saturday 25 June 2016

SIKUKUU YA WANAWAKE- KKKT/DKMG YAFANA,ASKOFU KESHOMSHAHARA APOKEA MAANDAMANO.

 Baba Askofu wa kkkt\dkmg Keshomshaara na viongozi wengine wamepokea maandamano makubwa mamia kwa mamia kutoka maeneo tofauti na  hususani Mkoa wa Kagera wakisherekea sikukuu ya wanawake kkkt\dkmg. wanawake hao waliokuwa wemebeba mabongo yenye ujumbe mbalimbali kuhusu wanawake,huku wakiimba nyimbo za dini na kutanguliwa na matarumbeta.Sherehe zilifanyika kanisa kuu Bukoba mjini.
 Wanawake wanaweza.
 Wanawake si mchezo.



Thursday 23 June 2016

KIWANJA KIPYA THE LIQUID LOUNGE KUFUNGULIWA RASMI IDD PILI MANISPAA YA BUKOBA.

Ni muonekano wa nje wa kiwanja kipya cha maraha kinachofunguliwa rasmi Idd pili The Liquid Lounge, ni jengo lililokuwa likijulikana kama Urafiki Bar,ni eneo zuri kwa nje na ndani limekarabatiwa kisasa na kwendana na viwango vya kidigital na vya Hapa kazi tu.
Sehemu ya Counter.
Wa kwanza kushoto Bw Samora Lyakulwa mmiliki wa eneo husika.


Ni katika harakati za kurekebisha hapa na pale.
sehemu ya Dj kukaa.
Ni speaker ndogo kwa muonekano , lakini balaa kwa sauti na muziki wa kiwango.
vispeaker hivyo,kweli ni dhama za  kidigital.