Sunday 19 June 2016

MK BOTTLES CO.LTD WAANZA KUZALISHA SODA, KIWANDA CHA MAJI ASILIA BUKOBA.

 MK BOTTLES kiwanda cha kutengeneza maji ya kunywa kilichopo Manispaa ya Bukoba kata ya Kashai ,baada ya maji yake ya julikanoyo kwa jina la Asilia kukubalika kwa kasi kwa wanywaji kutokana na ubora wa hali yajuu, sasa wameanza uzalishaji wa soda zenye radha tofauti kwa watumiaji, Mtendaji mkuu wa kiwanda hicho Georgia George wakati akiongea na jamcobukoba.blogspot.com amesema anamshukuru mungu kwanza kwa mafanikio makubwa  ya kuweza kuzalisha maji ya kunywa na kukubalika kwa wanywaji mkoani kagera na mikoa mingi nchini Tanzania, amesema pamoja na  hayo sasa wameamua kuanza uzalishaji wa soda ili kuweza kukidhi maombi na mahitaji ya watumiaji.(katika picha Bi Georgia George akiwa kiwandani ).
 Kutoka maktaba picha ya soda zinazozalishwa.
 Maji Asilia.
 hapa kazi tu.
 Mitambo .

1 comment: