Saturday 6 June 2015

MSAFARA WA MGOMBEA URAIS CCM WAPATA AJALI MBAYA NI MAKONGORO NYERERE




Msafara wa Mgombea nafasi ya Urais kupitia CCM Charles Makongo umepata jali mbaya Wilayani Kasulu ambapo Gari walilopanda wasaisdizi wake limepinduka.Makongoro hakuwemo katika gari hilo bali waliokuwemo wameumia akiwemo  mwandishi wa habari Cyprian Musiba, na jamaa mmoja , Tutawajuza zaidi habari hizo

Thursday 4 June 2015

MAELFU WAMLILIA SAMWEL NTAMBALA LUANGISA,WATU WAMZIKA KWA KUANGALIA TV.

Wa pili kushoto ni mjane wa marehemu Ma Geretu akitatua mgogolo wa wajukuu wakidai haki yao,hii ni kabla ya mazishi,dola za kutosha zilihusika na wajukuu wakatulia.


Hakika kitu miwani kilihusika kwa wengi.
Balozi Kagasheki akisalimiana na Bw Geroge Kalunde mwenyekiti wa mazishi.
Kitu miwani kilichukua kasi kubwa.
Viongozi wa dini walimzungumza marehemu walivyomfahamu.
Wakati yakitolewa maelezo ya marehemu ulifika wakati watu walilizimika kucheka na kufurahi kwa kumkumbuka.
Watoto wa marehemu.
Hakika wauza miwani hawatomsahau mzee Luangisa.
Bw Novatus Nkwama mwenyikiti ccm Bukoba vijijini.
Baba Askof wa kanisa la Authodox.
Vilio wakati wa kuaga mwili vilitawala.
Kushoto, mzee Mashasi, Baba askofu Kilain na Baba askofu wa Authodox.
Abankango,wana ukoo.
Jamani kitu miwani.

Mjane wa marehemu.
Mzee Byolwango akihakiki na kupokea rambirambi.
Mkuu wa Mkoa Kagera Bw John Mongela akiwa na kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa akitoa rambirambi na kumuelezea marehemu.
Mama Anna Tibaijuka.
Murungi Badru Kichwabuta akitoa shukrani.
Kimjinimjini tunasema Nyomi la kufa mtu.
Watu busy na Tv wakiangalia kinachoendelea.
Watu wakitafuta matukio.
Bukobawadau nae akiyatafuta matukio.
Shekhe Mustafa akiwa na mzee Galiatano.
Padre Mrosa na shekhe wa Mkoa wa Kagera Haruna Kichwabuta.
Bukobasports nae achezi mbali.
Mzee masabala akaeleza enzi zao na marehemu.
Paschazia Barongo akamuelezea mjomba wake alivyowapenda watoto wa ndugu zake,akayataja majina mbalimbali ya marehemu, ila katika yote umati ukacheka alipotaja jina la MBALI ULILIBATA NDIYO NLILIBATA,hakika marehe alikuwa na uwezo wa kumliki jukwaa alipokuwa akihutubia.
Kcu 1990 Ltd wakitoa rambirambi.
Baba Askofu Kilain akitoa neno,katika mengi aliyoeleza hakusita kutamka kuwa marehemu alitetea haki za wanyonge,na aligusia viwanja vyashule ya wasichana Rugambwa vilivyovamiwa na watu kuwa marehemu alitetea virudishwe.
Baba Askof Buberwa.
Umati ukifuatilia matukio kwenye Tv.
Kampuni ya kuzika kutoka Uganda ikaanza kazi yake.

TUTAKUKUMBUKA DAIMA MZEE SAMWEL NTAMBALA LUANGISA,KWA UPENDO WAKO, UCHESHI, HEKIMA NA BUSARA, PUMZIKA KWA AMANI.