Saturday 20 July 2013

UJIO WA RAIS KIKWETE KAGASHEKI CUP KUSIMAMA KWA MUDA,BAKOBA AMCHAPA KAHORORO 2-0,HAMUGEMBE AONA MWEZI AMPA KICHAPO NYANGA 3-0.

 Kagasheki cup 2013 inayoelekea hatua ya robo fainali itafungwa kwa muda kuanzia 22-7-2013 ili kupisha mkutano wa hadhara wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania  Jakaya mrisho kikwete utakaofanyika katika uwanja wa kaitaba  24-7-2013, kwa mujibu wa maelezo ya mwenyekiti wa kagasheki cup marick tibabimale amesema amea pokea barua kutokakwa mkurugenzi wa manispaa ikimtaka asitishe mashindano mpaka baada ya mkutano wa rais kikwete kufanyika.
 wakati huohuo leo timu ya bakoba imeendeleza wimbi la ushindi la kuifunga kahororo 2-0 mechi iliyochezwa mapema na mechi ya pili hamugembe kamfunga nyanga 3-0
 balozi kagasheki ambae ndio mdhamini wa mashindano haya ambayo yanazidi kupamba moto na kukusanya maelfu ya wanachi wanaojitokeza kutizama michezo mbalimbali katika uwanja  wa kaitaba
 uwanja huu ndio utakaotumika kwa ajiri ya mkutano wa rais kikwete 24-7-2013, hivyo mechi za tarehe 22-7-2013- 24-7-2013 zitapangiwa tarehe nyingine
kamati inaomba radhi kwa wapenzi wote wa soka, timu zote zitakazositisha michezo katika tarehe hizo,kwani swala hili ni la kitaifa.

MZEE JOEL RUANGISA WA KITENDAGURO KUZIKWA JUMATATU 22-7-2013

 marehemu joel ruangisa enzi za uhai wake,ni kaka mkubwa wa diwani wa kata ya kitendaguro mh samweli ruangisa
                                                 mh samweli ruangisa akiwa msibani nyumbani kwake kitendaguro

                                          ndugu jamaa na marafiki wakiwa msibani kitendaguro
 mzee rutabingwa(kushoto) swaiba mkubwa wa mzee samwel ruangisa akiwa msibani
                                       Na hapo ndio yanaandaliwa makazi mapya ya milele ya marehemu
                                    ma Rahery ruangisa ,jamal kalumuna na mama shamira wakiwa kilioni
                                                         bwana raban ndugu wa marehemu
                                       peter ruangisa akiwa na marehemu joel ruangisa enzi za uhai wake
                                                         mjane wa marehemu joel,watoto wake na mjukuu
mazishi yatafanyika kitendaguro  22-7-2013 jumatatu ,jamcobukoba.blogspot.com inatoa pole kwa familiaya marehemu, ndugu, jamaa na marafiki

Friday 19 July 2013

RAIS KIKWETE AFUTURU NA WATOTOYATIMA IKULU


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasabahi baadhi ya watoto  yatima walioshiriki katika futari aliyoiandaa ikulu jijini Dar es Salaam .Watoto yatima wanaolelewa katika vituo mbalimbali jijini Dar es Salaam walihudhuria futari hiyo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasabahi baadhi ya watoto  yatima walioshiriki katika futari aliyoiandaa ikulu jijini Dar es Salaam .Watoto yatima wanaolelewa katika vituo mbalimbali jijini Dar es Salaam walihudhuria futari hiyo.
Baadhi ya watoto  yatima wakishiriki katika futari iliyoandaliwa na Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam 
Baadhi ya watoto  yatima wakishiriki katika futari iliyoandaliwa na Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam .
Baadhi ya watoto  yatima wakishiriki katika futari iliyoandaliwa na Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu

Thursday 18 July 2013

MAMA PRUKERIA FREDERK LYAKURWA AFARIKI LEO( MAARUFU MAMA GEORGE LYAKURWA)

Familia ya marehemu Frederk lyakurwa  inasikitika kutangaza kifo cha mama yao mpendwa kilichotokea leo saa kumi huko jijini mwanza,mama alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa kansa kwa muda mrefu,kwa mujibu wa maelezo ya mtoto mkubwa wa marehemu mipango ya kusafirisha mwili inafanyika kutoka mwanza na kupeleka moshi kwa ajili ya mazishi.jamcobukoba.blogspot.com inawapa pole watoto wa marehemu, ndugu, jamaa na marafiki. tulikupenda sana mama yetu ila mungu amekupenda zaidi upumzike kwa amani.

KAGASHEKI CUP 2013, BAKOBA 1 vs KASHAI 1 - HAKUNA MBABE,POLISI WAIMARISHA ULINZI KUTOKANA NA WINGI WA WATU

 Shabiki nguri mwana mama wa kashai neema akiwa makini kuangalia mechi
                                            dah mchezo mgumu huu
                                 wa mama wanapenda sana soka
                                           kagasheki cup noma, watu nyomi
                                  police baada ya mechi wakiangalia usalama
                                tujipange, ligi ngumu haitabiriki
                                                 umakini mchezoni
 willy kiroyera walidhamini mechi itangazwe live redio kasibante
                             vituko uwanjani, mashabiki wa kashai
                               kazi ipo ,umeona mechi ilivyokuwa ngumu
                                                      dah hii si mchezo
 mwanalibeneke wa bukobasports akiwa na mkewe baada ya mechi
                      kumbe hii kagasheki cup si mchezo,watu wanajaa hivi
 mkurugenzi wa manispaa akihojiwa na mtangazaji wa redio kasibante
                                  mkurugenzi wa manispaa akitoka uwanjani
                                                 mechi imekwisha nashuka
 kwa jinsi uwanja ulivyojaa ilibidi watu wapande magari kwa juu waweze kuona mechi
                                         polisi hawachezi mbali
                      barabara itokayo kaitaba kuelekea soko kuu imefurika

Timu zikianza kuingia uwanjani, mbele ni waamuzi wa mtanange huu kati ya Bakoba na Kashai
Waamuzi wa Mtanange huu
Kikosi kilichoanza cha Kashai
Benchi  la Bakoba

Mashabiki leo wameingia buku tatu kidogo!!
Nyomi ya mashabiki leo hii