Saturday 16 November 2013

KAGASHEKI MGENI RASMI MAHAFARI YA KWANZA KIDATO CHA NNE KEMIBOS BUKOBA, AWASIHI WANAFUNZI KUSOMA KWA WINGI MASOMO YA SAYANSI ILI KUPATA WATAALAM WENGI ZAIDI






 Wahitimu kidato cha nne na darasa la saba wakiwa kwenye maandamano kuelekea ukumbi wa sherehe

               wanafunzi wa kemibos wakiwa kwenye paredi maalum kuwapongeza wahitimu
                                          wanafunzi wakiwa kwenye mahabara ya shule kemibos
 Balozi kagasheki akisikiliza  wanafunzi kwenye mahabara wanaosoma masomo ya sayansi
 balozi kagasheki amewataka wanafunzi kujifunza masoma ya sayansi ili kupata wataala
mu wengi zaidi


kushoto bw Adamu kagasheki mjumbe wa bodi ya shule akiwa na bw Karimu Amri MNEC CCM wilaya ya karangwe

 Mgeni rasmi balozi kagasheki mbunge jimbo la bukoba mjini na waziri wa maliasili na utalii akikata utepe kuashiria ufunguzi wa mahafari ya kwanza kidato cha nne kemibos
 mgeni rasmi akiwa na mkurugenzi wa shule na mmilikii wa shule kaizirege kareju (kulia) na kushota mwenyekiti wa bodi ya shule abubakari kagasheki,shule ya kemibos katika mitihani ya darasa la saba mwaka huu imekuwa yakwanza kimkoa
                   mama kaizirege kareju mkurugenzi wa fedha kemibos akiwa na mumewe
                                                          tarumbeta wakitoa burudani
                                                    wazazi waliokuja kuona watoto
                        bi sharifa karwani ni miongoni mwa wazazi waliokuja kusalimu watoto
                                                                  wazazi
                                                    wanafunzi wa primary kemibos
                               mwenyekiti wa bodi kemibos Abubakari kagasheki akitoa neno
         wanafunzi wa kemibosi wakwa katika gwaride maalumu kwa wahitimu

                                                                             wahitimu katika pozz


 mmoja ya kivutio katika mahafali haya ni vijana hawa walioimba shairi kwa lugha ya kifaransa

                                                          mkuu wa shule kemibos akisoma risala
                                                    wazazi wakipongeza watoto wao
                                                         ongereni wanetu.....
                                                                      mgeni rasmi picha
                                                                        ya pamoja na wahitimu

                                                    kweli tumeitimu shostyyyy
 mh diwani wa muleba mjini(CUF) Hassan milanga akisalimiana na balozi kagasheki
 Mkurugenzi wa shule kemibos bw kareju akiwa na meneja wa shule bw katiti
kemibos inatoa elimu kuanzia chekechea, msingi, seko ndari na sasa wanategemea kuanza kidato cha tano na sita

Friday 15 November 2013

MWILI WA MAREHEMU DK.MVUNGI WAPOKELEWA KWA MAJONZI JIJINI DAR ES SALAAM USIKU HUU.

 Mwili wa Marehemu Dk. Sengondo Mvungi ukifanyiwa maombi mara baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo.
 Wanachama wa NCCR-Mageuzi wakiwa wamelibeba sanduku lililohifandhi mwili wa kiongozi huyo wa NCCR-Mageuzi na Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Mpya.
 Waombolezaji waliofika uwanjani hapo kuupokea Mwili wa Dk. Mvungi.
 Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba akiwa uwanjani hapo.
 Baadhi ya waombolezaji waliofika uwanjani hapo.
Mjane wa Marehemu, Bi Anna Mvungi akiwa uwanjani hapo kuupokea mwili wa mumewe

Ndugu wakilia kwa uchungu...

Mwili wa aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya mabadiliko ya Katiba mpya na Mkurugenzi wa Katiba, Sheria na Haki za Binadamu wa NCCR-Mageuzi, Marehemu Dk. Sengondo Mvungi umewasili nchini kutoka Afrika Kusini.
Makumi ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam, ndugu jamaa na marafiki wa Marehemu dk. Sengondo Mvungi walifika uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere upande wa Mizigo na kuupokea mwili wa kiongozi huyo na mwana familia.
Mapokezi ya mwili wa Dk. Mvungi aliyefariki juzi kufuatia majeraha ya shambulizi la majambazi lililomkuta nyumbani kwake nombemba 2 mwaka huu na kupeleka Nchini Afrika Kusini kwa Matibabu, yaliongozwa na Mkewe mama Anne Mvungi.
Viongozi wengine waliohudhuria ni pamoja na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba mpya, Jaji na Waziri Mkuu Mstaafu, Joseph Sinde Warioba, Waziri wa Uchukuzi, Dk. Sengondo Mvungi, Mwenyekiti wa NCCR-Magezi, na wajumbe takriban wote wa tume ya mabadiliko ya Katiba mpya.
Sanduku hilo lilifunikwa bendera ya Chama cha NNCR-Magezi. 
Mwili wa marehemu Dk. Sengondo Mvungi unataraji kuagwa kesho katika viwanja vya Karimjee kabla ya kusafirishwa kwenda kijijini Kwao Kisangara juu, Wilaya ya mwanga mkoani Kilimanjaro kwa Maziko siku ya jumatatu.
________________
MUDA
TUKIO
LEO, NOVEMBA 15, 2013 – UWANJA WA NDEGE WA MWALIMU JK NYERERE
Saa 12:50 jioni
Kuwasili kwa mwili wa Marehemu – Uwanja wa Ndege wa Mwalimu JKN
KESHO, NOVEMBA 16, 2013 – VIWANJA VYA KARIMJEE
Saa 2:00 – 3:30 asubuhi
Kuwasili kwa Wageni, Wananchi na Waombolezaji
Saa 3:30 asubuhi
Kuwasili Mwili wa Marehemu
Saa 4:00 – 5:45 asubuhi
Ibada ya Misa Takatifu, Viwanja vya Karimjee
Saa 5:45 – 6:55 mchana
Salaam za Rambirambi na Neno la Shukurani
Saa 6:55 – 8:40 Mchana
Kuaga Mwili wa Marehemu
Saa 9:00 Alasiri
Msafara kupeleka mwili wa marehemu Kibamba Msakuzi
KESHO KUTWA, NOVEMBA 17, 2013 – NYUMBANI KWA MAREHEMU - KIBAMBA, MSAKUZI
Saa 2:30 – 4:30 asubuhi
Ibada ya Misa nyumbani kwa marehemu
Saa 5:00 asubuhi
Kuanza safari ya kwenda Chanjale, Kisangara Juu, Mwanga, Kilimanjaro

*RAIS KIKWETE AHUDHURIA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA JUMUIYA YA MADOLA


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika kikao cha ufunguzi cha wakuu wa nchi za Jumuiya ya Madola jijini Colombo Srilanka leo asubuhi.kushoto ni Waziri wa mambo ya nje wa Uingereza William Hague. Picha na Freddy Maro
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete(Watatu kushoto mbele) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wengine wa nchi Jumuiya ya Madola wakiongozwa na mwana wa malkia wa Uingereza Prince Charles of Wales aliyekaa kwenye viti wapili kutoka kulia.Wapili kushoto aliyeketi ni mwenyeji wa mkutano huo Rais wa Srilanka Mahinda Rajapaksa wakati wa ufunguzi wa mkutano huo uliofanyika jijini Colombo,Srilanka leo.

Thursday 14 November 2013

Wednesday, November 13, 2013 RAIS KIKWETE AWASILI SRI LANKA KUHUDHURIA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA JUMUIYA YA MADOLA



Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mke wake Mama Salma Kikwete wakiongea na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue mara baada ya kuwasili jijini Colombo, Sri Lanka, leo Novemba 14, 2013 tayari kwa mkutano wa wakuu wa nchi za jumuiya ya madola (CHOGM 



Wednesday 13 November 2013

MSIKITI WA KHOJASHIA ISNAASHARI JAMAAT BUKOBA WAOMBOLEZA KIFO CHA IMMAMU HUSSEIN

         Waumini wakiwa katika maandamano usiku wa tarehe 13-11-2013  mjini bukoba
                   mwalimu akieleza historia ya kifo na kwa nini wanaadhimisha siku ya immamu hussein
                               mohamed cable akisikiliza  kwa makini historia ya kifo cha immamu hussein
                                                         maeneo ya soko kuu mawaidha yakitolewa
 wa mama wakiwa pembeni mwa barabara maeneo ya soko kuu bukoba wakisubiri maaandamano yapite
 Murtaza visram akiwa katika maandamano ya kuomboleza kifo cha immamu hussein mjukuu wa mtume muhamad sw
                                    murtaza fidodido akipanga watu katika utaratibu wa kutembea
                                                       ni katikakupita mitaa ya bukoba
                                      Minazi akiongoza waya za taa zinazotoa mwanga barabarani