Wednesday 25 November 2015

MAZISHI YA PRINCE BAINA KAMUKULU, AZIKWA NYUMBANI KWAO KIBETA BUKOBA

 Alie wahi kuwa mtangazaji wa RFA na STAR TV Bw Baina Kamukulu amezikwa nyumbani kwao ,Manispaa ya Bukoba kata ya Kibeta na mamia ya wananchi kutoka maeneo mbalimbali,Marehemu aliaga dunia ghafla huko jijini Dar akiwa katika mazoezi ya kawaida akicheza mpira wa wavu.
 Mjane wa marehemu akiaga mwili wa marehemu.
 Mjane wa marehemu na mwanae.
 Mtoto wa marehemu akiweka udongo.
 Mjane wa marehemu akiweka udongo kaburini.
 Kaka wa marehemu wakiweka shada la maua.
 Kushoto Bw Kitwe na Ruga Masabala wakiongea.
 Waombolezaji.

Sunday 22 November 2015

MTENSA DAY NDANI YA UKUMBI WA LINA'S NIGHT CLUB,PAMOJA GROUP WAAZIMISHA.

 Ni wana umoja wa pamoja group wakiwa katika ukumbi wa Lina's night club,uliokuwa ukimilikiwa na marehemu Leornard Mtensa  wakimkumbuka kwa kukaa pamoja kwa kula na kunywa kwa pamoja kwa kumkumbuka marehemu,(MTENSA DAY)

 Kijana Jerry akisakata rumba.
 Maua katika ubora wake.
 Mwenyekiti wa pamoja Group akieleza umuhimu wa Mtensa day.
 Chereees kwa kumkumbuka Mtensa.
 Murungi Kichwabuta akisisitiza jambo.



Tutakukumbuka daima Leornard Mtensa.