Wednesday 23 July 2014

APIGWA SHOKA LA KICHWA BAADA YA KUFUMANIWA NA MKE WA MTU


Baada ya madaktari wa Hospitali ya Rufaa ya Bugando kupambana kuokoa maisha ya jamaa huyu mkazi wa Mwanza, aliye fumaniwa na kupigwa Shoka ya Kichwa akiwa na mke wa mtu, hatimaye wamefankiwa kuchomoa shoka hilo kichwani lakini hali yake bado mbaya akiwa katika chumba cha ICU kwa uangalizi zaidi. ''Mke wa mtu sumu''.

Monday 21 July 2014

BAADA YA FLORA MBASHA KUNASA MIMBA ,GWAJIMA AKIMBIA NCHI WAUMINI SASA KUGAWANA KILA KITU


Kufuatia  sakata  la  Flora  Mbasha  na  mumewe  likumuhusisha  moja  moja  kiongozi  wa  kiroho  Mchungaji  Gwajima, habari  tulizozipata  ni  kwamba  mchungaji  huyo  amekimbia  nchi….

Habari  toka  chanzo  cha  kuaminika  kilichopo  ndani  ya  kanisa  la  mchungaji  huyo  ni  kuwa  Gwajima  hivi  sasa  ameshauza  karibia  robo  tatu  ya  mali  zake  na  kwamba  moja  kati  ya  magari  yake  ya  kifahari  huenda  likanunuliwa  na  mwanamuziki  Diamond.


Kufuatia  sakata  la  Flora  Mbasha  na  mumewe  likumuhusisha  moja  moja  kiongozi  wa  kiroho  Mchungaji  Gwajima, habari  tulizozipata  ni  kwamba  mchungaji  huyo  amekimbia  nchi….

Habari  toka  chanzo  cha  kuaminika  kilichopo  ndani  ya  kanisa  la  mchungaji  huyo  ni  kuwa  Gwajima  hivi  sasa  ameshauza  karibia  robo  tatu  ya  mali  zake  na  kwamba  moja  kati  ya  magari  yake  ya  kifahari  huenda  likanunuliwa  na  mwanamuziki  Diamond.

Jamaa  hivi  tunavyoongea  anaweza  akawa  ameshatoroka  tayari, maana  hili  sakata  limeanza  kumwendea  hovyo  na  wiki  iliyopita  kuna  madalali  walikuja  hapa  wakiitaka  gari  yake  aina  ya  Hammer, wakidai  kuwa  inataka  kununuliwa  na  mwanamuziki  Diamond,”  kilisema  chanzo  cha  habari  hii.

Kikaendelea  kumwaga  data  kuwa  karibu  wiki  zima  lililopita  mchungaji  huyo  alikuwa  kwenye  mipango ya  kuuza  baadhi  ya  nyumba  zake  na  kwamba  hata  familia  yake  hivi  sasa  haiko  kwenye   makazi  yake  anayoishi  siku  zote…

Kufuatia  sakata  la  Flora  Mbasha  na  mumewe  likumuhusisha  moja  moja  kiongozi  wa  kiroho  Mchungaji  Gwajima, habari  tulizozipata  ni  kwamba  mchungaji  huyo  amekimbia  nchi….

Habari  toka  chanzo  cha  kuaminika  kilichopo  ndani  ya  kanisa  la  mchungaji  huyo  ni  kuwa  Gwajima  hivi  sasa  ameshauza  karibia  robo  tatu  ya  mali  zake  na  kwamba  moja  kati  ya  magari  yake  ya  kifahari  huenda  likanunuliwa  na  mwanamuziki  Diamond.

Jamaa  hivi  tunavyoongea  anaweza  akawa  ameshatoroka  tayari, maana  hili  sakata  limeanza  kumwendea  hovyo  na  wiki  iliyopita  kuna  madalali  walikuja  hapa  wakiitaka  gari  yake  aina  ya  Hammer, wakidai  kuwa  inataka  kununuliwa  na  mwanamuziki  Diamond,”  kilisema  chanzo  cha  habari  hii.

Kikaendelea  kumwaga  data  kuwa  karibu  wiki  zima  lililopita  mchungaji  huyo  alikuwa  kwenye  mipango ya  kuuza  baadhi  ya  nyumba  zake  na  kwamba  hata  familia  yake  hivi  sasa  haiko  kwenye   makazi  yake  anayoishi  siku  zote…

Hata  familia  yake  sijaiona  karibu  wiki  mbili  hapa  kanisani  na  taarifa  tulizonazo  karibu  waumini  wengi  tu ni  kwamba  jamaa  anataka  kuhama  nchi  lakini  hatujui  ni nchi gani  anayotaka  kwenda  kufanya  makazi  yake  tena  ya  kudumu,” alisema.

Habari  hizo  zinadai  kuwa  baadhi  ya  waumini  wamepanga  kugawana  mali  kadhaa  za  kanisa  pamoja  na  za  Gwajima  mwenyewe  endapo  itagundukia  kuwa  ametoroka  kweli….

Kuna  baadhi  ya  waumini  wamekerwa  sana  na  hii  skendo ya  Flora  Mbasha, wamekuwa  wakijiapiza  kwamba  hata  zile  mali  zake  ni  halali  yao  kwani  zinatokana  na  sadaka  wanazotoa  kila  siku, inasikitisha  sana  kwa  kweli.” alisema  mtoa  habai  hii.

Inasemekana  kuwa  mchungaji  Gwajima amepanga  kuwaaga  waumini  wake  kama  vile  anakwenda  kueneza  neno  katika mataifa  mengine, lakini  ukweli  ni  kwamba  anataka  kuondoka  ili  kukwepa  aibu  kutokana  na  mambo  yanayoendelea…

Jamaa  yupo  kwenye  hali  ngumu, hii  ishu  ya  Flora  Mbasha imemuweka  katika  wakati  mgumu  sana  kwa  sababu  amekuwa  akinyooshewa  vidole  sana, na  kuna  baadhi  ya  wazee  wamekuwa  wakimtaka  atoe  tamko  rasmi  ili  kukwepa  hiki  kikombe  cha  aibu,” kilisema  chanzo  hicho.

Mwandishi  alimpigia  simu  Gwajima  lakini  simu  yake  haikupatikana, na  hata  Diamond  naye  alipopigiwa  simu  ili  kujua  kama  kweli  anataka kununua  gari  la  Gwajima, simu  yake  iliita  bila  kupokelewa  na  hata  alipotumiwa  ujumbe mfupi  hakujibu  kitu

Sunday 20 July 2014

FAMILIA YA JAMAL KALUMUNA (JAMCO) YAFUTURISHA WANAFUNZI SHULE YA KEMIBOS

 Mmiliki wa mtandao wa Jamcobukoba.blogspot akiwa na familia yake waliofika katika shule ya Kemibos kwa ajili ya kufuturisha wanafunzi 150 wanaofunga wa shule ya msingi na sekondari,ikiwa ni sadaka yao kwa ajili ya mwezi mtukufu wa ramadhani.
 Wa kwanza kulia na Mrs Kareju ambae pia ni Mkurugenzi wa shule ya Kemibos akisaidiana na Mama Jamco kuhudumia wanafunzi futari
 Kushot ni Bushira, Jamco, Meneja wa shule Mr Katiti na Shafi ni wakishuhudia mambo yanavyokwenda
 Wanafunzi wakiwa kwenye mstari ili waweze kupata huduma
 Wanafunzi wakifuturu
 Hakika ilikuwa nzuri sana
 Watoto walifurahi
 Pongezi kwa Mama Achi alieandaa futari ya watoto hawa,Mama achi ni mpishi anaepika chakula kwa ajili ya shughuli mbalimbali.
 Ni marafiki wa familia ya Jamco walioongozana nao wakiahakikisha watoto wanafurahia
 Mkao wa wanafunzi wakifuturu
 Mr Jamco akiwa na mwanae anaesoma shuleni hapo Khadija Jamal darasa la nne.
 Mama Jamco na wanae baada ya kufuturisha, full shangwe
 Ni mmoja wa wanafunzi alie soma dua ya kumshukuru mwenyezi mungu.
Ikisomwa dua ya kufunga shughuli nzima ya kufuturisha.Jamcobukoba.blogspot.com inawatakia waislamu wote wamalize salama mfungo wa mwezi wa ramadhani.