Sunday 20 July 2014

FAMILIA YA JAMAL KALUMUNA (JAMCO) YAFUTURISHA WANAFUNZI SHULE YA KEMIBOS

 Mmiliki wa mtandao wa Jamcobukoba.blogspot akiwa na familia yake waliofika katika shule ya Kemibos kwa ajili ya kufuturisha wanafunzi 150 wanaofunga wa shule ya msingi na sekondari,ikiwa ni sadaka yao kwa ajili ya mwezi mtukufu wa ramadhani.
 Wa kwanza kulia na Mrs Kareju ambae pia ni Mkurugenzi wa shule ya Kemibos akisaidiana na Mama Jamco kuhudumia wanafunzi futari
 Kushot ni Bushira, Jamco, Meneja wa shule Mr Katiti na Shafi ni wakishuhudia mambo yanavyokwenda
 Wanafunzi wakiwa kwenye mstari ili waweze kupata huduma
 Wanafunzi wakifuturu
 Hakika ilikuwa nzuri sana
 Watoto walifurahi
 Pongezi kwa Mama Achi alieandaa futari ya watoto hawa,Mama achi ni mpishi anaepika chakula kwa ajili ya shughuli mbalimbali.
 Ni marafiki wa familia ya Jamco walioongozana nao wakiahakikisha watoto wanafurahia
 Mkao wa wanafunzi wakifuturu
 Mr Jamco akiwa na mwanae anaesoma shuleni hapo Khadija Jamal darasa la nne.
 Mama Jamco na wanae baada ya kufuturisha, full shangwe
 Ni mmoja wa wanafunzi alie soma dua ya kumshukuru mwenyezi mungu.
Ikisomwa dua ya kufunga shughuli nzima ya kufuturisha.Jamcobukoba.blogspot.com inawatakia waislamu wote wamalize salama mfungo wa mwezi wa ramadhani.

No comments:

Post a Comment