Saturday 10 May 2014

WAZIRI NYALANDU AKABIDHIWA MAGARI YA KUSAIDIA KAMPENI YA KUTOKOMEZA MAJANGILI WA MAUAJI YA TEMBO


 Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nayalandu, akipokea funguo ya moja kati ya magari matatu aina ya Land Cruiser, yenye thamani ya Sh. milioni 350, kutoka kwa Mwenyekiti wa Taasisi ya Uhifadhi Wanyamapori Tanzania, Eric Pasanisi, wakati wa hafla ya makabidhiano hayo iliyofanyika leo kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro wakati wa Kongamano la Kampeni ya kudhibiti Ujangili na kukomesha mauaji dhidi ya Tembo. Kongamano hilo lililofunguliwa na Makamu wa Rais Dkt Bilal, jana limemalizika leo Mei 10, 2014. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, Abdulkarim Shah. Picha na Sufianimafoto.com
 Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nayalandu, akionyesha funguo ya moja kati ya magari matatu aina ya Land Cruiser, yenye thamani ya Sh. milioni 350, baada ya kupokea kutoka kwa Mwenyekiti wa Taasisi ya Uhifadhi Wanyamapori Tanzania, Eric Pasanisi (kulia) wakati wa hafla ya makabidhiano hayo iliyofanyika leo kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro wakati wa Kongamano la Kampeni ya kudhibiti Ujangili na kukomesha mauaji dhidi ya Tembo. Kongamano hilo lililofunguliwa na Makamu wa Rais Dkt Bilal, jana limemalizika leo Mei 10, 2014.Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, Abdulkarim Shah. 
 Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nayalandu, akijaribu kuwasha moja kati ya magari matatu aina ya Land Cruiser, yenye thamani ya Sh. milioni 350, baada ya kukabidhiwa na Mwenyekiti wa Taasisi ya Uhifadhi Wanyamapori Tanzania, Eric Pasanisi, wakati wa hafla ya makabidhiano hayo iliyofanyika leo kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro wakati wa Kongamano la Kampeni ya kudhibiti Ujangili na kukomesha mauaji dhidi ya Tembo. Kongamano hilo lililofunguliwa na Makamu wa Rais Dkt Bilal, jana limemalizika leo Mei 10, 2014. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, Abdulkarim Shah.
 Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nayalandu, akishuka kwenye moja kati ya magari matatu aina ya Land Cruiser, yenye thamani ya Sh. milioni 350, baada ya kulijaribu alipokabidhiwa na Mwenyekiti wa Taasisi ya Uhifadhi Wanyamapori Tanzania, Eric Pasanisi, wakati wa hafla ya makabidhiano hayo iliyofanyika leo kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro wakati wa Kongamano la Kampeni ya kudhibiti Ujangili na kukomesha mauaji dhidi ya Tembo. Kongamano hilo lililofunguliwa na Makamu wa Rais Dkt Bilal, jana limemalizika leo Mei 10, 2014.
  Picha ya pamoja baada ya makabidhiano hayo.
 Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nayalandu, akisainiana mkataba wa makabidhiano wa magari matatu aina ya Land Cruiser, yenye thamani ya Sh. milioni 350, na Mwenyekiti wa Taasisi ya Uhifadhi Wanyamapori Tanzania, Eric Pasanisi (wa pili kushoto) wakati wa hafla ya makabidhiano hayo iliyofanyika leo kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro wakati wa Kongamano la Kampeni ya kudhibiti Ujangili na kukomesha mauaji dhidi ya Tembo. Kongamano hilo lililofunguliwa na Makamu wa Rais Dkt Bilal, jana limemalizika leo Mei 10, 2014. Kushoto ni Naibu Spika wa Bunge la Jamhri, Job Ndugai (kulia) ni Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mahmoud Mgimwa.
 Wakibadilishana mkataba huo baada ya kutiliana saini. Kushoto ni Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai.
  Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Regnald Mengi, akichangia mada wakati wa Kongamano hilo, lililomalizika leo kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro, jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya washiriki wa Kongamano la Kampeni ya kudhibiti Ujangili na kukomesha mauaji dhidi ya Tembo, wakiwa katika Kongamano hilo, lililomalizika leo kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro, jijini Dar Es salaam.
 Baadhi ya washiriki wa Kongamano la Kampeni ya kudhibiti Ujangili na kukomesha mauaji dhidi ya Tembo, wakiwa katika Kongamano hilo, lililomalizika leo kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro, jijini Dar Es salaam.

Thursday 8 May 2014

VIBWEKA VYA MAHABUSU VILIVYOTOKEA JANA JIJINI MWANZA AVUA NGUO NA KUBAKI MTUPU ILI KESI YAKE ISIKILIZWE


 Inspector Henry akiwasihi mahabusu hao wawili wanaotuhumiwa kwa kesi za mauaji, kuachia mlingoti wa Bendera ya Taifa na kurudi kwenye chumba cha mahakama kwaajiri ya taratibu za kesi.
 Inspector Henry (shati la bahari) akiwa na Inspector Veda (mwenye koti) wakisikiliza hoja za  Thobiasi Warioba (35), aliyeamua kuvua nguo zote na kubaki mtupu akiwa ameng'ang'ania mlingoti wa Bendera ya Taifa uliopo katika viwanja vya Mahakama ya Hakimu Mfawidhi Wilaya ya Nyamagana mkoa wa Mwanza, ambaye anakabiliwa na kesi ya mauaji Na. 32/2012.

Askari polisi wakiwalinda mahabusu wawili kati ya sita wanaotuhumiwa kwa kesi za mauaji, wakiwa wameng'ang'ania mlingoti wa Bendera ya Taifa huku mnoja akiwa mtupu mara baada ya kutoroka toka kwenye msafara wa mahabusu waliokuwa wakiingia mahakama ya wilaya ya Nyamagana na kisha mmoja wao kuvua nguo.

Wednesday 7 May 2014

CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA MKOA WA KAGERA (KCU 1990 LTD) CHATANGAZA BEI YA KAHAWA MSIMU WA 2014/2015

 Mwenyekiti wa bodi ya Kcu 1990 Ltd Bw Binusho ametangaza bei  za awali  katika ununuzi wa Kahawa kutoka kwa wakulima kupitia kwenye vyama vya msingi. Bw Binusho amesema kutokana na hali ya soko la kahawa katika soko la dunia kuporomoka Kcu katika msimu wa 2014/2015 itanunua Kahawa Robusta maganda  kwa shilingi 800 kwa kilo na Arabic.a maganda shilingi 800 kwa kilo, Robusta Safi 1,700 kwa kilo na Arabica Safi 1,700 kwa kilo. Pia amesema Arabica Organic watanunua kwa shilingi 2,500 ,Robusta Organic 2,500 na Robusta UG 1,700. KCU 1990 Ltd msimu 2014/2015 wanategemea kukusanya tani 3,300 za kahawa safi na tani 4000 za Maganda.
 Wajumbe wa mkutano mkuu
 Bi Leonida Muhazi mjumbe wa bodi kcu
 Mzee Baruti mjumbe wa bodi kcu
 Makamu mwenyekiti wa bodi kcu
 Mhasibu mkuu kcu
 Bw Festo Meneja masoko kcu
 Bw Mbeikya Speratus  mhasibu mkuu msaidizi kcu
 Bw Mutayabarwa
 Bw Kanjagaire
 Bw Rugumila
 Bw Rwangobe
 Bw Brandes Meneja wa Bukoba Coop Hotel
 Mgeni rasmi  Bw  Ernest Mwakibisa  kutoka wizara ya Kilimo, chakula na ushirika makao makuu Dodoma akitoa hutuba ya ufunguzi wa mkutano
 Bw Nkwama Mwenyekiti wa CCM  Bukoba Vijijini
 Umakini mkubwa
 Wafanyakazi Kcu
 Wanahabari wakicheka na camera
 Bi Theonestina mwandishi wa habari katika pozz
 Wana habari
 Mwenyekiti wa bodi ya kcu akisoma taarifa yake na mapendekezo ya makisio ya mwaka 2014/2015

 Ni mjumbe aichangia hotuba ya Mwnyekiti swala la mmoja wa wajumbe aliefukuzwa kwanye mkutano mkuu wa mwaka jana Archard Felician Muandiki kutoka chama cha msingi Kamachumu akitaka kuushawishi mkutano mkuu  waadhimie kumchukulia hatua za kisheria kwa  kutumia vyombo vya habari  kuwatukana wajumbe wa mkutano mkuu, kuwadhalilisha kwa kuwaita Masikini, wana njaa na wote ni Mbwa. Mjumbe huyu alitaka apate mwongozo nini kifanyike ili wamchukulie hatua, Baada ya mjadala mrefu wajumbe walibaki na msimamo wao kuwa hawamtaki katika ushirika wao.
 Meneja wa Tanica na Meneja wa Bukop wakifuatilia Mkutano
 Mmoja ya wajumbe akichangiaMEN
 Huyu ni mjumbe kutoka chama cha msingi Magata akiueleza mkutano mkuu wa Kcu jinsi kikundi cha watu wachache wanavyovuruga  chama chao,Ameiomba serikali kuchukua hatua za haraka kabla mambo hayajaleta madhara huko Muleba Magata
 Mhasibu mkuu wa Kcu akisoma makisio
 Wanahabari
 Mrajis msaidizi Mkoa wa kagera Bw Shoros Rwenkiko akielezea swala la chama cha msingi  Magata kinachotaka kujitenga na Kcu kuwa ni lazima taratibu na sheria za ushirika zifuatwe na si vinginevyo
 Makao makuu ya chama kikuu cha ushirika mkoa wa kagera Kcu
 Mwandishi wa Star Tv akifuatilia kwa makini mkutano
 Secretalieti
 Baadhi ya Wafanyakazi wa Kcu
 Ni mambo ya Mkutano
 Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Zippola Pangani akichangia katika hotuba ya mwenyekiti kipengere cha kesi zilizoko mahakamani za Kcu, alishauri kuondoa kesi hiyo na kukaa mezani kwa majadiliano na kumaliza kesi nje ya Mahakama
Mjumbe wa Mkutano mkuu wa Kcu Bw Tadeus Buberwa akichangia mawazo yake