Friday 25 September 2015

KAHAMA YAHEMEWA MKUTANO WA MAGUFULI



 Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa Milango 10 tayari kuhutubia maelfu ya wakazi wa mji wa Kahama waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa kampeni za CCM.
  Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akiruka kutoka kwenye gari wakati akiwasili kwenye uwanja wa mkutano mjini Kahama.

  Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli( wa tatu kutoka kushoto) akiongoza meza kuu kumuombea mapumziko mema mgombea wa Ubunge wa Jimbo la Ulanga Mashariki Mhe. Celina Kombani aliyefariki nchini India tarehe 25 Sept.
  Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akiwachangamsha wakazi wa Kahama kwa kuimba nao nyimbo za hamasa wakati wa mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa Milango 10.
  Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akienda sambamba na wakazi wa mji wa Kahama.
 Wananchi wakiwa wamebanana kabisa kumuona  Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli
  Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa mji wa Kahama na kuwaahidi ataubadilisha mji huo na kuwa wa kisasa na wenye maendeleo zaidi.
  Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akiwaambia wananchi wa Kahama kuwa atawafanyia kazi Watanzania wote bila kujali Itikadi zao za vyama.
 Hivi ndivyo mkutano wa Kahama wa  Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli ulivyofurika.
 Wakazi wa Kahama mjini wakiwa wametosha kwenye mkutano wa kampeni za  Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli
 Chegge na Temba wakitumbuiza kwenye mkutano wa kampeni za  Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli kwenye uwanja wa Milango 10.
 Chegge na Temba wakishambulia jukwaa kwenye mkutano wa kampeni za  Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli
 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi na Mjumbe wa Kamati Kuu CCM Taifa Ndugu Alhaji Abdallah Bulembo akiwahutubia wakazi
 Mjumbe wa Kamati ya Kampeni za CCM Mhe.Samuel Sitta akihutubia wakazi wa Kahama mjini wakati wa mkutano wa kampeni wa  Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli
Wasanii wa Yamoto Band wakitumbuiza kwenye mkutano wa kampeni za  Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli.
 Wachimbai wadogo wa Nyarugusu wakimsikiliza Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli wakati akihutubia kwenye mkutano wa kampeni.
 Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Nyarugusu mkoani Geita.



 Wakazi wa Bukoli wakimsikiliza Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli
 Mwananchi akifurahia jambo kwenye mkutano wa Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli.
 Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Bukombe kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja vya shule ya msingi Igurwa ,Bukombe mkoani Geita.
 Umati wa wakazi wa Bukombe ukimsikiliza Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli
 Magufuli ni kazi tu.
 Bukombe
 Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Mbogwe kwenye uwanja wa shule ya msingi  Masumbwe.
 Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Mwabomba amabao wengi ni wachimbaji wadogo wadogo wa madini, Ushetu mkoani Shinyanga.
 Msafara wa Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli ukiwasili Bulungwa jimbo la Ushetu.
 Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akimnadi mgombea wa ubunge jimbo la Ushetu Ndugu Elias John Kwandikwa.

Thursday 24 September 2015

WAZIRI KOMBANI AFARIKI:


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani amefariki leo jioni katika hospitali ya Apollo nchini India alikokwenda kutibiwa, vyanzo kutoka serikalini vyathibitisha.
Kombani alikuwa anagombea nafasi ya ubunge katika jimbo la Ulanga Mashariki kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM).
Mwanasiasa huyo, Celina Kombani amezaliwa Juni 19, 1959 na ameliongoza jimbo la Ulanga Mashariki tangu 2005.
Kabla ya kurudishwa katika Ofisi ya Rais, marehemu Celine Kombani alikuwa Waziri wa Sheria na Katiba.

UCHOMAJI MAKANISA, SERIKALI KAGERA YAINGILIA KATI.



. Viongozi wa makanisa hayo kuwa washirika namba moja,
. Umoja wa makanisa ya Kipentekoste wahitaji mwongozo.
Wakati serikali mkoani Kagera, ikikagua makanisa hayo na wahakikishia wachungaji na waamini wa makanisa yaliyochomwa moto katika manispaa ya Bukoba , wachungaji waomba mwongozo wa aina gani ya makanisa wajenge ili yaheshimiwe.
Akizungumza katika ziara ya kutembelea Makanisa yaliyochomwa moto, mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoani  Kagera JOHN MONGELA, amesema kuwa tayari polisi imeanza kuwatafuta waliohusika na matukio hayo.
Bwana MONGELA ambaye ni mkuu wa mkoa wa Kagera, amesema kuwa kwa nchi kama Tanzania,  vitendo hivyo vinatakiwa kukemewa na kuwaomba wachungaji kuwa wavumilivu katika kipindi hiki,  ambacho serikali inaendelea kulishughulikia.
Mwenyekiti wa makanisa ya Kipentekoste –PCCT-,  mchungaji CRODWARD EDWARD ameishukuru serikali ya mkoa kwa jinsi inavyoendelea kulishughulikia.
Mchungaji EDWARD amesema kuwa kutokana na makanisa hayo kuwa yanachomwa moto, wameaanza kupoteza imani na serikali lakini kutembelewa na mkuu wa mkoa sasa wana imani suala hilo litashughulikiwa.

Tuesday 22 September 2015

MAGUFULI AUSTUA ULIMWENGU BAADA YA KUPIGA PUSH UP KWENYE MKUTANO WA KAMPENI KARAGWE


 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana na mgombea ubunge jimbo la Nkenge kupitia CCM Balozi Dk. Deodorus Kamara mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa mkutano maarufu kama uwanja wa Chakaza ,Bunazi wilaya ya Misenye.
 Baadhi ya wagombea wa udiwani wakiwa tayari kujinadi kwenye mkutano wa kampenii za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa Mashujaa maarufu kama Chakaza,Bunazi wilaya ya Misenye.
 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi na ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu CCM Taifa Alhaji Abdallah Bulembo akimtambulisha mgombea wa ubunge jimbo la Nkenge Balozi Dk. Deodorus Kamara kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye viwanja vya Mashujaa maarufu kama Chakaza.
 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Bunazi wilaya ya Misenye ambapo aliwaahidi kuondoa kodi zote zisizokuwa na maana kwa mkulima wa kahawa.
 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihtubia wakazi wa Misenye na kuwaahidi kuwa ataondoa vikwazo kwa wafanya biashara ili waweze kufanya biashara vizuri.
 Wakazi wa Bunazi wakiwa wengi kwenye mkutano wa kampeni za CCM ambapo pia ulihutubiwa na Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli.
 Sheikh wa Wilaya ya Misenye Alhaj Abdul Chagulani akimuombea dua njema Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli.
 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akipokea dua ya sheikh mkuu wa wilaya ya Misenye Alhaj Abdul Chagulani.
 Wakazi wa Karagwe wakimsubiri Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli kuwahutubia kwenye viwanja vya Changarawe Kayanga wilayani Karagwe.
 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akizungumza na mgombea ubunge wa jimbo la Karagwe.
 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Karagwe ambapo aliwaahidi kutekeleza anayo ahidi ikiwemo ukamilishwaji wa ujenzi wa barabra kwa kiwango cha Lami.

 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akipiga push up mbele ya maelfu ya wakazi wa Karagwe kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja vya Changarawe,Kayanga.


 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi na Mjumbe wa Kamati Kuu Alhaji Abdallah Bulembo akihutubia wakazi wa Kyerwa kwenye mkutano wa kampeni za CCM zilizofanyika Rumanyika kata ya Nkwenda wilaya ya Kyerwa.
 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Kyerwa kwenye mkutano wa kuomba kura kwa wananchi.
 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akimtambulisha mgombea ubunge wa jimbo la Kyerwa Ndugu Innocent Balikwate kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM uliofanyika viwanja vya Rumanyika.
 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli wananchi wakisikiliza kwa makini hotuba ya Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli
 Wakazi wa Benako wakimsikiliza Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli wakati akielekea kwenye mkutano wa kampeni Ngara.
 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Alhaj Abdallah Majura Bulembo akihutubia wakazi wa Ngara kwenye uwanja wa posta ya zamani.
 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisisitiza jambo kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Ngara mjini
 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubiawakazi wa Ngara ambapo aliwaahidi wakazi hao kuwa atashughulikia kupunguza kodi zinazo mkandamiza mkulima.
 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akimndadi mgombea wa ubunge jimbo la Ngara Ndugu Alex Raphael Gashaza .



 Mbunge Mteule anayewakilizsha Wazazi Oliva Semguruka akihutubia kwenye mkutano wa Kampeni za CCM kulia ni Halima Bulembo Mbunge mteule kupitia vijana
 Mbunge Mteule anayewakilizsha Wazazi Oliva Semguruka akihutubia wakazi wa Ngara ambapo aliwaambia wakina mama kushikana na kuwa kitu kimoja katika kuleta maendeleo na kuitunza amani iliyopo.
 Mbunge mteule atakayewakilisha vijana Ndugu Halima Bulembo akihutubia wakazi wa Ngara kwenye mkutano wa kampeni za CCM.
Mgombea ubunge wa jimbo la Ngara Ndugu Alex Raphael Gashazaakihutubia wakazi wa Ngara mjini wakati wa mkutano za CCM za kumnadi Dk.John Pombe Magufuli