Thursday 9 July 2015

RAIS KIKWETE ALIHUTUBIA BUNGE MJINI DODOMA LEO


 Rais Jakaya Kikwete akilihutubia Bunge Mjini Dodoma, leo, Julai 9, 2015
  Rais Jakaya Kikwete akilihutubia Bunge Mjini Dodoma, leo, Julai 9, 2015. Kulia ni Spika wa Bunge Anna Makinda
 Makamu wa Rais Dk Gharib Bilal na Rais wa  Zanzibar Dk. Ali Mohammed Shein wakimsikiliza Rais Kikiwete wakati akilihutubia Bunge mjini Dodoma
 Wadau walioingia kwenye ukumbi wa Bunge wakimsikiliza Rais Kikwete
 Rais Kikwete akisisitiza jambo wakati akilihutubia Bunge leo mjini Dodoma
 Hali ya ukumbi wa Bunge wakati Rais Kikwete akilihutubia Bunge mjini Dodoma leo
 Hali ya ukumbi wa Bunge wakati Rais Kikwete akilihutubia Bunge mjini Dodoma leo
Hali ya ukumbi wa Bunge wakati Rais Kikwete akilihutubia Bunge mjini Dodoma leo
0 comme

JK AZINDUA UKUMBI WA KISASA WA MIKUTANO WA CCM MJINI DODOMA


 Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na viongozi mbali mbali wa mkoa wa Dodoma mara baada ya kuwasili kwenye sherehe za uzinduzi wa jengo jipya la mikutano la CCM.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiongoza sherehe fupi za uzinduzi wa jengo jipya la mikutano la CCM mjini Dodoma
 Mkurugenzi wa kampuni ya ujenzi ya CRJE Ndugu Hu Bo akihutubia kwenye sherehe za uzinduzi wa Jengo la kisasa la mikutano la CCM mjini Dodoma.
 Viongozi wakifurahia hotuba ya Mkurugenzi wa CRJE
 Balozi wa China Nchi Mhe. LU Youqing akizungumza wakazi wa uzinduzi wa Jengo jipya la Ukumbi wa mikutano la CCM mjini Dodoma.
 Mwenyekiti wa CCM Taifa Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana wakati wa sherehe fupi za uzinduzi wa jengo la ukumbi wa kisasa wa mikutano wa CCM mjini Dodoma.
 Bendera za CCM zikipepea nje ya ukumbi wa jengo jipya la kisasa la mikutano Dodoma Convention Center.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akitoa salaam za kumkaribisha Mwenyekiti wa CCM Taifa Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete kuja kutoa hotuba ya ufunguzi wa Ukumbi mpya wa kisasa wa mikutano wa CCM mjini Dodoma.
 Mwenyekiti wa CCM Taifa,Rais Jakaya Kikwete akihutubia wakati wa sherehe za ufunguzi wa ukumbi wa kisasa wa mikutano wa CCM mjini Dodoma
 Mwenyekiti wa CCM Taifa,Rais Jakaya Mrisho Kikwete akibonyeza tufe kuashiria kufunguliwa rasmi kwa jengo jipya la ukumbi wa kisasa wa mikutano la CCM mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea ufunguo kutoka kwa Mkurugenzi wa kampunzi ya ujenzi ya CRJE kutoka China Ndugu Hu Bo kama ishara ya kukabidhiwa jengo la ukumbi wa kisasa la mkutano la Dodoma Convention Center.

Wednesday 8 July 2015

MOHAMMED DEWJI ALIZA WANANCHI WA SINGIDA MJINI.

Yakiwa yamebaki masaa machache kabla rais Jakaya Kikwete kuliga na kulivunja Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Mbunge wa Singida mjini Mohammed Dewji ambae pia ni miongoni mwa wafanyabiashara wakubwa Africa anaetambulika kwa utajiri Afrika amewatoa machozi wananchi wa Singida mjini pale aliposimama kwenye mkutano wake wa mwisho kuhutubia kama mbunge wa jimbo hilo na kutamka kuwa hatogombea tena ubunge,Vilio na simanzi vilitawala katika mkutano huu, lakini alisema anawashukuru wananchi wa Singida mjini kwa kumpa heshima kubwa ya kuwa mbunge kwa miaka kumi  na sasa anamkabidhi kijiti kada mwingine wa ccm .

KIKWETE AWASILI DODOMA MCHANA HUU TAYARI KWA KUONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA MAADILI NA USALAMA YA CHAMA


 Ndege iliyombeba Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais Jakaya Mrisho Kikwete ikitua kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma tayari kwa kuongoza kikao cha Kamati ya Usalama na Maadili ya Chama.
 Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiteremka kwenye kiwanja cha Ndege Dodoma tayari kwa kuongoza kikao cha Kamati ya Maadili na Usalama ya Chama.
 Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma.
 Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM  Ndugu Nape Nnauye mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma.
 Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Kikwete akiwasalimia wananchi waliojitokeza kumpokea kwenye uwanja wa ndege mkoani Dodoma.
 Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Kikwete akiimba na wana CCM waliojitokeza kumpokea kwenye uwanja wa ndege mkoani Dodoma.

Monday 6 July 2015

BW EUNIAS NTANGEKI RAIS MPYA ROTARY CLUB BUKOBA,JOHN MONGELLA MGENI RASMI.

 Wa pili kushoto ni Bw Eunias Ntangeki akikabidhiwa vifaa vya kazi kama rais mpya wa rotary club Bukoba,Ni katika hafla fupi iliyofanyika katika hotel ya Fiosimim iliyoko barabara ya Kashura,hafla hiyo ilihudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo wajumbe wa rotary club Bukoba,waalikwa mbalimbali na mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Kagera Bw John Mongella,Katika picha kulia ni rais mstaafu aliemaliza muda wake na kukabidhi kijiti Bw Archard Ngemela, rais wa Cosad Tanzania Bw Smart Baitan na mwisho ni Rtn Mashasi.
 Bw Bube Mkurugenzi wa shule ya watoto wadogo Leoleo akiteta na Bi Briltany Leitch Afisa mipango wa Cosad Tanzania.
 Mkurugezi wa Fiasmim Lilian Rwakatale akiongea na waalikwa waliofika katika hotel yake.
 Bw Archar Ngemela rais mstaafu akiongea na wadau kueleza mambo mbalimbali yaliyofanyika katika kusaidi jamii kupitia  rotary club Bukoba.
 Wageni waalikwa.
 Mzee Mashasi mjumbe wa muda mrefu sana katika rotary club Bukoba akiongea neno kwa wajumbe na waalikwa.
 Rais mpya akikabidhiwa mikoba.
 Akila kiapo.
 Kulia ni mzee Rutabingwa Rtn akiwa na Rtn Mashasi,maswaiba wa muda mrefu sana.
 Hongera rais.
 Rtn mpya nae akachukua kipaza sauti na kunena.
 Mzee mashasi akamvisha begi Bi Hapiness Esau kutambua ujumbe wake mpya wa rotary club Bukoba.
 Rtn mpya Bi  Brigitter Karg nae akapongezwa na rais mpya.
 kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera Bw John Mongella(mgeni rasmi) akiwa na rais wa Cosad Tanzania Bw Smart Baitan.
 Wadau mbalimbali wakapata fursa ya kupiga picha na mgeni rasmi.
 Hapo bwana ni sleng kwa kwenda mbele.
 Waalikwa.
 Mrs Rais mstaafu.
 Dr Jesca Baitan akitabasamu.
 Bw Mutusi, katika pozz.
Mrs Masabara.
Mc Baraka na Walter katika pozzzz.