Monday 6 July 2015

BW EUNIAS NTANGEKI RAIS MPYA ROTARY CLUB BUKOBA,JOHN MONGELLA MGENI RASMI.

 Wa pili kushoto ni Bw Eunias Ntangeki akikabidhiwa vifaa vya kazi kama rais mpya wa rotary club Bukoba,Ni katika hafla fupi iliyofanyika katika hotel ya Fiosimim iliyoko barabara ya Kashura,hafla hiyo ilihudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo wajumbe wa rotary club Bukoba,waalikwa mbalimbali na mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Kagera Bw John Mongella,Katika picha kulia ni rais mstaafu aliemaliza muda wake na kukabidhi kijiti Bw Archard Ngemela, rais wa Cosad Tanzania Bw Smart Baitan na mwisho ni Rtn Mashasi.
 Bw Bube Mkurugenzi wa shule ya watoto wadogo Leoleo akiteta na Bi Briltany Leitch Afisa mipango wa Cosad Tanzania.
 Mkurugezi wa Fiasmim Lilian Rwakatale akiongea na waalikwa waliofika katika hotel yake.
 Bw Archar Ngemela rais mstaafu akiongea na wadau kueleza mambo mbalimbali yaliyofanyika katika kusaidi jamii kupitia  rotary club Bukoba.
 Wageni waalikwa.
 Mzee Mashasi mjumbe wa muda mrefu sana katika rotary club Bukoba akiongea neno kwa wajumbe na waalikwa.
 Rais mpya akikabidhiwa mikoba.
 Akila kiapo.
 Kulia ni mzee Rutabingwa Rtn akiwa na Rtn Mashasi,maswaiba wa muda mrefu sana.
 Hongera rais.
 Rtn mpya nae akachukua kipaza sauti na kunena.
 Mzee mashasi akamvisha begi Bi Hapiness Esau kutambua ujumbe wake mpya wa rotary club Bukoba.
 Rtn mpya Bi  Brigitter Karg nae akapongezwa na rais mpya.
 kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera Bw John Mongella(mgeni rasmi) akiwa na rais wa Cosad Tanzania Bw Smart Baitan.
 Wadau mbalimbali wakapata fursa ya kupiga picha na mgeni rasmi.
 Hapo bwana ni sleng kwa kwenda mbele.
 Waalikwa.
 Mrs Rais mstaafu.
 Dr Jesca Baitan akitabasamu.
 Bw Mutusi, katika pozz.
Mrs Masabara.
Mc Baraka na Walter katika pozzzz.

No comments:

Post a Comment