Sunday 14 July 2013

KAGASHEKI CUP 2013: KAGONDO 1 vs MIEMBENI 1, SARE YAINDELEA KUICHANGANYA KICHWA TIMU YA MIEMBENI!!!

Wachezaji wa Miembeni wakisalimia waamuzi pamoja na wachezaji wenzao wa timu ya kagondo
Salama!! karibu Kagasheki Cup 2013: Timu zikisalimiana na kufamiana
Kagondo nao wakisalimiana na waamuzi
Kikosi cha Timu ya Miembeni
Benchi la Miembeni na wachezaji wa akiba
Benchi la Kagondo

Waamuzi wakiteta na timu kapteni hapa kuhusu jambo fulani na kuona wapi wanaelekea.
Soma Zaidi Hapa »

No comments:

Post a Comment