Friday 7 February 2014

ANGALIA JEURI YA FEDHA,,SHATI LA AJABU LENYE THAMANI YA T.SH. MILIONI 450,WATU MAISHA YAMEWAFIKISHA HAPO



Kwa mujibu wa chanzo toka BBC SHATI HILI LINAGHARIMU KIASI dola [$250,000] Jamaa huyu anayefahamika kama Rajini Vaidyanathan a.k.a "The Gold Man" hili tukio liliwaacha baadhi ya watu midomo wazi na kuwaacha wakijiuliza maswali kadhaa kuhusu jamaa huyu.

No comments:

Post a Comment