Sunday 2 February 2014

AJALI MBAYA YATOKEA MAENEO YA MZUNGUKO( ROUND ABOUT) YA KWENDA BARABARA YA KYAKA- MTUKULA JIONI YA LEO BUKOBA

 Lori kubwa limepata ajali mbaya maeneo ya mzunguko, Barabara ya kuelekea Kyaka jioni ya leo, ni magari matatu yaliyokuwa yamefuatana yakielekea nchini Uganga yakiwa yamepakia makaa ya mawe kwa mujibu wa maelezo ya awali,chanzo cha ajali inasemekana gari moja wapo lilikatika breki,Habari kamili hazijasibitishwa kuhusiana na chanzo cha ajari,Magari yanaonyesha ni  ya nchini zambia
 Majawapo ya gari liliokuwa kwenye msafara
 Askari wa usalama barabarani wakiwa katika tukio la ajali
 Hii ndio hali halisi ya injini
 Wananchi wakishuhudia tukio
 Ni baadhi ya mifuko inayosemekana ni makaa ya mawe
 Mmoja wa madereva wa malori hayo ya Malawi
 Inasemekana ni makaa ya mawe yaliyokuwa yanapelekwa Uganda
Ni mojawapo ya namba ya gari iliyopata ajali

1 comment:

  1. Poleni sana..kwa ndugu na jamaa waliokutwa na ajali hiyo mbaya..

    ReplyDelete