Monday 3 February 2014

RAIS KIKWETE ATEMBELEA KUKAGUA MAJENGO YA BUNGE DODOMA KUELEKEA BUNGE LA KATIBA


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua sehemu ya Siti za kukaa ndani ya ukumbi wa Bunge mjijini Dodoma wakati alipotembelea na kukagua kampuni inayokarabati na kufanya marekebisho kwa ajili ya kupokea wajumbe wa Bunge la katiba linalotarajia kuanza baadaye mwezi huu.
 Rais Jakaya Kikwete, akijaribu kipaza sauti katika moja ya siti za ukumbi huo.
 Muonekano wa siti za ukumbini humo baada ya marekebisho...
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitembezwa sehemu mbalimbali za majengo ya Bunge mjijini Dodoma alipotembelea kukagua maendeleo ya ukarabati na marekebisho ya ukumbi wa Bunge kujiandaa na Bunge la Katiba marekebisho  tayari kwa kupokea wajumbe wa Bunge la katiba baadaye mwezi huu.


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa kampuni ya ujenzi inayokarabati na kufanyia marekebisho ukumbi wa bunge mjini Dodoma tayari kwa kupokea wajumbe wa Bunge la katiba baadaye mwezi huu.

No comments:

Post a Comment