Monday 16 January 2017

BONGE LA SHEREHE SERENA HOTEL DAR,EMMANUEL SAKWANDA NA JUDITH JUSTIN LAMBERT HONGERENI,UFUNGUA UJIONEE MWENYEWE..
















































 Katika burudani Saida na kundu lake walitumbuiza.

 Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi mh Rashid Othuman akitoa neno la shukrani kwa waalikwa.
 Kamati ya maandalizi ikitambulishwa.
 Jodarn Lambert katika ubora wake.
 Bendi kutoka Tanga ikawainua waalikwa.

 Balozi Mberwa Kairuki akiwa na mkewe mh waziri Angela Kairuki.
 Burudani
 Bw Anic Kashasha(MSHENGA) akipata kitu supu.
 Muonekano na mpangilio ilikuwa ni kivutio tosha cha utalii.
 Bw Harusi na Bi harusi katika muonekano wa vazi tofauti.

 Bw Kashasha akiwa na mke wake akicheza ngoma ya saida Kaloli akiwa live.
 Blogger akaweka kamera chini , nae akapigwa picha akicheza ngoma ya saida Kaloli,ilikuwa ni shidaaa..

 Wafanyakazi wa Junaco katika ubora wao.



 Bibi akitoa zawadi.
 Balozi Diodorus Kamala(kulia) akiwa na Dr Frank.
 Kushoto ni Mh Marsha akiwa na mh mbunge wa baraza la wawakilishi Zanzibar.
 Familia ya Bw Anic Kashasha.
 Mh Jaji mkuu wa Tanzania Othuman Chande akiwa na Bw Anic Kashasha katika ukumbi wa Serena hotel, ni miongoni mwa wageni maarufu walioudhuria.
 Bw Robert Matungwa akisalimiana na jaji mkuu wa Tanzania.
 Mrs Justin Lambert(kulia) akifurahia kitu.
 Wajumbe wa kamati.
 Mh Protas Ishengoma katika ubora wake.
 Bw Justin Lambert akiwa na Jaji mkuu wa Tanzania.

No comments:

Post a Comment