Monday 24 August 2015

TANGAZO LA KIFO,BURIANI ENG LAMBERT NDIWAITA

Familia ya marehemu Eng. Lambert Ndiwaita wa Nairobi Kenya inasikitika kutangaza kifo cha Eng. Lambert Ndiwaita(pichani) kilitokea tarehe 20.8.2015 katika hospital ya Nairobi, Kenya, Marehemu Eng. Lambert Ndiwaita alikuwa ni mtaalam wa viwanja vya ndege kwenye shirika la viwanja vya ndege vya Kimataifa,chini ya  Umoja wa Mataifa (International Civil Aviation Organisation - ICAO) chini ya Umoja wa Mataifa.  Mwili wa Marehemu utasafirishwa kwenda nyumbani kwake Bukoba, Tanzania na mazishi  yatafanyika jumanne tarehe 25-08-2015 kijijini kwake Maruku Bukoba. Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina la Bwana  lihimidiwe, Amina.

1 comment:

  1. Pole sana i just learnt about the death of this great son of Tanzania and a great friend of mine yesterday when i visited ICAO -Gigiri,May the Lord keep his soul in Eternal Rest

    ReplyDelete