Tuesday 25 August 2015

MATUKIO YA KUWASILI KWA MWILI WA MAREHEMU LAMBERT NDIWAITA KUTOKEA NAIROBI .

Ilikuwa ni majonzi, vilio na simanzi pale mwili wa marehemu Lambert Ndiwaita ulipowasili katika viwanja vya kanisa la Kilutheri usharika wa Kashura Bukoba.
Jamaa mbalimbali waliofika kanisani kupokea mwili wa marehemu.
Gari maalumu kutoka nchini Uganda lililoleta mwili wa marehemu, ni moja ya kampuni inayofanya shughuli ya kuzika.
Kushoto ni mjane wa marehemu akisadiwa kushuka kwenye gari.

Mama mzazi wa marehemu(katikati) akisaidiwa.
Picha ya marehemu
Mchungaji wa usharika wa Kashura akiendesha ibada.
Mwili ukawasili nyumbani kwa marehemu Kishasha Bukoba mjini kabla ya kupelekwa kijijini kwao Maruku kwa mazishi.
Ni matukio,ilibidi asaidiwe.
Mwili wa marehemu ukipelekwa kijijini kwao Maruku kwa ajiri ya mazishi.Endelea kufuatili shughuli ya mazishi.

No comments:

Post a Comment