Thursday 30 January 2014

CHAMA CHA MAPINDUZI BUKOBA CHAZINDUA MAADHIMISHO YA MIAKA 37 YA CCM KATA YA RWAMISHENYE LEO,KAGASHEKI AWASIHI WANANCHI WASICHEZEE AMANI NA UTULIVU KATIKA NCHI YETU

 Bibi mkereketwa
 Mwenezi wa ccm Bukoba Mjini Ramadhani Kambuga akiendesha ratiba
 Mh DEUS
 Wa mama wa ccm
 Mgeni rasmi akiwasili
 Katibu wa ccm Bukoba Mjini Janati Musa akimkaribisha mwenyekiti
 Mwenyekiti wa ccm Bukoba Mjini Yusuf Ngaiza  akieleza mafanikio ya ccm katika kipindi cha miaka 37
 Bi Revina mkereketwa wa ccm
 Mh Ashura
 Msanii wa nyimbo za injili Hosea akiimba wimbo wa kuelezamatendo mema ya watu wema, hulipwa na mungu
 Wasanii walikonga nyoyo za wananchi kutokana na ujumbe ulio kwenye nyimbo zao
 Msani Shemela
 Msanii BK Sande akiimba wimbo wake wa binadamu kinyongakinyonga
 MH Mbunge akisikiliza kwa makini wimbo uliimbwa na msanii Shemela akishirikiana na BK Sande uliobeba ujumbe Kagasheki tenda wema nenda zako  MALIPO NI KWA MUNGU, Ni wimbo uligusa sana nyoyo za watu.
 Msanii Shemela akimpa mic mbunge aimbe kidogo

 Mgeni rasmi Balozi Khamis Kagasheki ambae ni mbunge wa jimbo la bukoba mjini akihutubia wananchi katika ufunguzi,ameongelea mafanikio ya chama cha mapinduzi kwa kipindi cha miaka 37,maendeleo na kikubwa amewaomba wananchi kudumisjha upendo, mshikamano na kikubwa amani na utulivu katika taifa letu.

 Wa mama wakimsikiliza mgeni rasmi katika ufunguzi
 Mh Murungi
 Mwandishi wa channel ten Bw  Byabato akiwa kazini
Kilele cha maadhimisho haya ya miaka 37 ya ccm yatafanyika  5-2-2014 siku ya jumapili saa  kuanzia saa nane mchana  katika kata ya Kashai sokoni

No comments:

Post a Comment