Thursday 30 January 2014

BREAKING NEWS... BIBI KIZEE ANAESADIKIWA NI MCHAWI AKUTWA CHUMBANI KWA MTU, MAENEO YA HAMUGEMBE BUKOBA

 Ni bibi kizee ambae hatukupata jina lake anaetuhumiwa kuwa mchawi
 Polisi wakitoa msaada wa kumnusuru bibi kizee aliekutwa chumbani kwa mtu
 Bibi kizee akipandishwa kwenye gari la poilisi
 Majanga kweli kweli
 Gari la polisi likiondoka eneo la tukio
 Akishushwa kituo cha polisi Bukoba
AKIINGIA KITUO CHA POLISI
 Bibi kizee akiingizwa mahabusu
Bw Bosco  ambae ni jirani wa eneo lilitokea tukio, ambae ameeleza kuwa alijitahidi sana kuwasihi wananchi wasimpige huyo bibi anaetuhumiwa kuwa mchawi na kutoa taarifa kituo cha polisi

No comments:

Post a Comment