Thursday 12 September 2013

NI MWAKA MMOJA SASA TANGU HAJATI ZANABIA ELIS NASIBU AFARIKI DUA YA KUMUOMBEA INAFANYIKA KAMACHUMU BUASHAGARA 13-9-2013 KUANZIA SAA SABA MCHANA

Ni mwaka mmoja sasa tangu uage dunia,tulikupenda sana  mzazi wetu na hakika  katika kipindi cha mwaka mmoja sasa pengo lako linaonekana na ni vigumu kuzibika, maana ulikuwa ni nguzo kubwa na msaada mkubwa katika familia, ndugu ,jamaa na marafiki wote,busara nma hekima zako  hakika  tunazikosa,mshikamano ulioujenga katika familia ,upendo na mapenzi makubwa tunayakosa, tulikupenda sana illa mungu amekupenda zaidi unakumbukwa na wanao wapenzi, laila elias nasibu, halima , afisa, seleman, yusuf na naziri, wajukuu wako wote, vitukuu, ndugu jamaa na marafiki,FAMILIA INAWAKARIBISHA KATIKA DUA YA KUMUOMBEA MAREHEMU TAREHE 13-9-2013 SIKU  YA IJUMAA KUANZIA SAA SABA MCHANA ITAKAYOFANYIKA KAMACHUMU BUSHAGARA NYUMBANI KWA MAREHEMU ALHAJI ELIAS NASIBU, KARIBUNI SANA

No comments:

Post a Comment