Monday 9 September 2013

WAHITIMU WA DARASA LA SABA NEW VISION YA IZIMBYA BUKOBA VIJIJINI WAAGWA

           wanafunzi wa darasa la saba shule ya msingi new vision ya izimbya wakitabasamu
                                             wanafunzi wa darasa la saba wakicheza kutikuti

                                               wanafunzi wakipokea vyeti vya kihitimu kwa mgeni rasmi
 kulia ni mkurugenzi wa shule ya msingi ya new vision na mkewe akitoa neno la shukrani kwa wazazi
                                  wanafunzi wanaohitimu katika muonekano wa kupendeza,shule hii ya msingi new vision ni ya bweni,ambayo iko izimbya na kitaaluma imekuwa ikifaulisha wanafunzi wote  na kiwilaya imekuwa ikiongoza kwa kipindi cha miaka mitatu,pia inapokea watoto wa chekechea
                          wazazi wakiwazawadia watoto wao na kuwapongeza kwa hatua hii
 bw Amosi rweyemamu akimzawadia na kumpongeza mmoja wa wanafunzi zaidi ya 60 wanaolipiwa karo na umoja wao ulioko spain, wamekuwa wakilipa karo kwa watoto yatima,watoto waliopoteza wazazi waliofariki kwa ukimwi nk.
 mama mzazi wa Amos rweyemamu akimpongeza mwanafunzi

 huyu mama akimpongeza mwanae ambae alitoa machozi, na kusema mwanae ameugua kwa kipindi kirufu na kusom kwa shida sana ,lakini anashukuru leo amefikia hatua hii, hivyo anakumbuka mengi ndo maana anatoa machozi,na mtoto nae alitoa machozi.
                                                                mgeni rasmi akitoa nasaha
                                                                 safari ndio imeanza....
                                                mama mzazi wa amos rweyemamu katika pozz
 Bw Amos rweyemamu yeye na wenzake wanaoishi spain wanalipa karo za zaidi ya wanafunzi 60 katika shule ya new vision izimbya
 wanafunzi wakipata chakula,shule hii iko kijijini kabisa ,pamoja na mazingira magumu ila wanafanya vizuri sana katika taaluma
kwa  elimu bora peleka mwanao  new vision pre & primary schooliliyoko izimbya bukoba vijijini

No comments:

Post a Comment