Thursday 12 September 2013

MKURUGENZI MKUU WA KAMPUNI YA BIA SERENGETI BREWERIES TANZANIA BW STEPHEN GANNON ATEMBELEA WAKALA WA SERENGETI BREWERIES WA KAGERA NA GEITA, KAMPUNI YA ZACHWA INVESTMENT KUJIONEA UFANISI WA KAZI




                                 Mkurugenzi mkuu wa serengeti  breweries bw Stephen Gannon



mkurugenzi wa zachwa investment bw muganyizi wakala wa kagera na geita akiongea na mkurugenzi mkuu wa serengeti breweries bw stephen gannon nyumbani kwa bwana muganyizi



                                bw  muganyizi na mkewe,wakiwa na  bw stephen gannon

                                                             Ni katika hoteli ya victorius


mmoja wa wakurugenzi wa zachwa investment jane muganyizi akiongea na wageni waliokaribishwa chakula cha usiku  katika hotel ya victorius


mkurugenzi mkuu tanzania wa serengeti breweries akiongea na wateja na wadau mbalimbali wa serengeti





                                     naikubali kazi yenu........tutaendelea  kufanya kazi na nyie


        mkurugenzi wa zachwa investment bw muganyizi akielezea kinywaji kipya cha serengeti

si utani serengeti ni kiboko...

                                         wanasema waenga upele umepata mkunaji,




jamani sina mengi , kunywa bia za serengeti

                                                    chakula cha bukoba si mchezo.......



                                    wadau wa serengeti wakipata chakula victorius hotel bukoba



                                                                 enangaaaa...

                                                     mkurugenzi akanogewa .....

                                                            ukafika wakati wa muziki



                                                                        serengeti breweries si mchezo

No comments:

Post a Comment