Sunday 8 September 2013

OPERESHENI MAALUMU(Operesheni kimbunga) YA KUONDOA WAHAMIAJI HARAMU WANAOMILIKI SIRAHA KINYUME CHA SHERIA YAANZA KATIKA MIKOA YA KAGERA,KIGOMA NA GEITA

 Kanal Fabian massawe akieleza mbele ya waandishi wa habari kuanza kwa operesheni ya kuondoa wahamiaji haramu na wanaomiliki siraha kinyume na sheria.
 kanal massawe akiwa na kiongozi wa operesheni hiyo simon sirro ambae pia ni kamanda wa polisi mkoa wa mwanza,kamanda sirro amewataka wananchi wote kutoa ushirikiano katika zoezi zima ambalo amesema halina mwisho mpaka hapo watakaporidhika kuwa kilichokusudiwa kimekamilika
                               opereshani hii inashirikisha jeshi la polisi ,jeshi la wananchi na uhamiaji
                                                     baadhi ya maafisa wa jeshi la police mkoa wa kagera

 waandishi wakiwa katika kazi ya kuandika kile kinachozungumzwa ili kuandika habari za kweli


 waandishi wa kalamu ,picha za mnato na picha za kutembea wakichukua matukio yote
 kanal Fabian massawe ameseme zoezi hili litazingatia haki za binadamu, za kimataifa ili kuondoa hali ya uonevu ,ameeleza wapo wanawake ambao wameolewa na wazawa ambao mwanzoni waliamuriwa waondoke nchini,ameseme ipo sheria  na utaratibu unaofanyika ili waendelee na ndoa zao hapa nchini,na amewataka wote waliokuwa wameondoka warudi na kufuata utaratibu waweze kupewa kibali
                                                                            waandishi wakiwabusy

akieleza haki kutendeka katika operesheni hii tofauti na zile zilizowahi kufanyika huko nyuma,ambazo baadhi ya viongozi walitumia nafasi zao kujitajirisha na kudhurumu mali za watu,kipindi hiki hali hiyo haitajitokeza hata kidogo, maana hii ni agizo la rais hivyo hakuna mchezo

No comments:

Post a Comment