Monday 9 September 2013

Majeshi ya MONUSCO Yanayoongozwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) Yalivyochakaza Ngome ya Kikundi cha Waasi cha M23


Mwanajeshi wa Jeshi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ)MONUSCO yanayoongozwa na Wanajeshi Kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ)akiwa kwenye Mapigano ndani ya Kibati.
Kazi ni moja tu, nayo ni Kongo kuwa huru, vijana shupavu wanawajibika pichani ni Mwanajeshi wa Jeshi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ)MONUSCO yanayoongozwa na Wanajeshi Kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ)akiwa kwenye Mapigano

Majeshi ya MONUSCO yanayoongozwa na Wanajeshi Kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ),yakidhibiti eneo la Kibati ilipokuwa ngome ya M23.  Picha Zote na Makao Makuu ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ)-Upanga

No comments:

Post a Comment