Tuesday 24 February 2015

HAFRA FUPI YA KUMUAPISHA MKUU WA WILAYA YA MISSENYE,KUKARIBISHA WAPYA NA KUAGA WANAOONDOKA.

 Mkuu wa Mkoa wa Kagera John Mongella  akimuapisha Mkuu wa wilaya ya Missenye Fadhil Nkurhu,Hafla hii fupi ilifanyika katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa.
 Kaimu Ras Bw Anyosise akitoa maelekezo ya utaratibu .
  Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Bw Jackson Musome.
 Mkuu wa wilaya ya Rombo Bw Lembris Kipuyo alikuwa wilaya ya Muleba akiwa na Kanal mstaafu Issa Njiku mkuu wa wilaya ya  Mlele Katavi alikuwa wilaya ya Missenye.
Bw Yahya Kateme Mwenyekiti wa vijana ccm Mkoa Kagera akiwa na katibu wake wa uvccm Mkoa Didas Zihimbile.
Meneja wa Tawi la NMB Bukoba.
Shekhe wa Mkoa Kagera Haruna Kichwabuta akisoma dua.
Mkuu wa Mkoa john Mongella akiwa na Mwenyekiti wa ccm Mkoa Costancia Buyiye.
Baba Askofu Buberwa akiomba dua.
Baba Askof Methodius Kilain.
 Bw Varelian akiwa na Mh Kanal mstaafu Issa Njiku.
Endelea kuangalia jamcobukoba.blospot.com

3 comments: