Saturday 28 February 2015

KAPTEN JOHN KOMBA HATUNAE TENA.

Mbunge wa Mbinga Magharibi Mh Kapten John Komba  amefariki dunia leo saa 10 jioni katika hospital ya TMJ Mikocheni Dar es salaam. Kwa mujibu wa maelezo ya mwanae Jerry Komba amesema kifo cha marehemu baba yake kimetokana na ugonjwa wa kisukari, Ambapo akiwa nyumbani kwake  mbezi beach sukari ilishuka na kukimbizwa hospital na mauti kumkuta.

No comments:

Post a Comment