Wednesday 25 February 2015

AJARI YA BASI LA ADVENTURE MJINI KIBONDO,KAPTEN MWASA ANUSURIKA NA WENZAKE.

 Basi la Adventure linalofanya  safari za Mwanza - Kigoma limeacha njia na  kupinduka na baadhi ya abiria kujeruiwa,chanzo cha habari yetu ajari imesababishwa na moja ya lori lililokuwa speed  katika makutano maeneo ya Kibondo, na  katika hali ya kulikwepa na kusalimisha  maisha ya abiria Basi likaacha njia,.
 Ni watu mbalimbali wakisaidia kuwatoa abiri kwenye gari ,baada ya ajari kutokea.
 Kapten Mwasa mmoja wa wahanga walionusulika  katika ajari.

Jamcobukoba.blogspot.com inatoa pole kwa majerui wote.

No comments:

Post a Comment