Saturday 24 August 2013

MADIWANI 8 WA CCM MANISPAA YA BUKOBA NI HALALI

Habari zilizotufikia hivi punde kutoka dodoma , kamati kuu ya chama cha mapinduzi taifa imesema madiwani waliokuwa wamefutiwa uanachama na nyadhifa zao ni halali, tutawaleteahabari zaidi badae

No comments:

Post a Comment