Friday 24 May 2013

ULIWAHI KUSIKIA HABARI ZA MTO NGONO WILAYA YA MISSENYE BUKOBA VIJIJINI

 Camera yetu mto ngono,mkondo wa maji unatoka mto kagera,tumekuta wakazi wa maeneo haya wakiendelea na shughuli za kawaida katika mto huo,wakazi wamaeneo haya hutumia maji ya mto huu kwa matumizi ya nyumbani,na uvuvi,lakini wafugaji huleta mifugo yao kwa ajili ya mifugo kama ngo'mbe kunywa maji japo kuna kibao cha kuzuia mifugo kutumia maji hayo

 katika hali isiyo ya kawaida takribani zaidi ya mika kumi iliyopita kuna dereva wa gari la chama cha ushirika kcu ltd alipotea katika maeneo ya mto ngono,yasemekana alisimamisha gari kwa ajili ya kujisaidia naharejea kwenye gari ,hakuwahi kuonekana mpaka leo.

n
                                                                     ni daraja la mto ngono
                       shughuli za uvuvi uendelea katika mto ngono,na mtu huyu anavua kwa kutumia chandarua


                                                   vijana wakiwajibika kuvua samaki mto ngono

 camera yetu na wadau wakitokea maeneo ya mutukula ilibidi wasimame kidogo maeneo ya mto ngono, kapten mwasa na mdau haruna
                                                   maji ya mto ngono ni meusi sana

 tatizo la maji maeneo ya vijijini bado ni tatizo kubwa, mama na mtoto walikutana na camera yetu mto ngono wakija kuchota maji ya matumizi ya nyumbani
                jk blogger sikusita kupata picha kama kumbukumbu ya uwepo wangu katika eneo la mto ngono
        mama akichota maji mto ngono,swali langu nini kifanyike kusaidia wakazi wa eneo hili kupata maji katika maeneo yao kusaidia  akina mama na watoto kufuata maji kwa kwa mwendo mrefu

                                                       wadau wakiangalia mandhali ya mto ngono
                                                           samaki wanaopatikana mto ngono
                                                                                      bonge la pozz
                                                                  kijana akiogelea mto ngono
                                                                                bonge la picha mto ngono
ni kibao kinazuia mifugo kuletwa katika mto ngono kunywa maji

No comments:

Post a Comment