Tuesday 21 May 2013

KAMBI YA REDD'S MISS MULEBA YAENDELEA VIZURI WAREMBO WAENDELEA KUJIFUA KWA MAZOEZI TAYARI KWA MPAMBANO 31-5-2013

   Camera yetu imetembelea kambi ya maandalizi ya redd's miss muleba ikiendelea,warembo wakiwa busy    wakijifunza jinsi ya kutembea,ama kwa hakika mchuano utakuwa mkali warembo kutoka katika viunga na   vitongoji vya wilaya ya muleba watachuana vikali,katika hali isiyo ya kawaida ,katika mahojiano mrembo aliejitambulisha kwa jina lainess sebasitian alisema ametokea kimwani ,31-5-2013 muleba ukumbi wa waisuka mchuano mkali utakuwepo.
 warembo wakiwa mazoezini wanafanya kitu kinaitwa cut walk usipime.....
                       hapa ni swala zima la kufundishwa dance,miss muleba safari hii si mchezo
                                       ni manjonjo tu katika swala zima la kujifunza show
                                                                                    kazi ipo muleba.....
                        cheki tambo zinavyopigwa,hapa ni mazoezi mpango mzima 31-5-2013
                                 ikabidi mrembo mmoja akamate camera apige picha..... ila imetulia
                                                                          ilibidi wacheke tu.........
                  majaji kazi wanayo ,hapa warembo hawajapambwa,siku hiyo wakipambwa itakuaje....
                                                                 maandalizi yako powaaaa...
                                                                            sema ndiziiiiii
                                                                    mapozzz.....
mambo yote 31-5-2013 redd's miss muleba atapatikana,warembo 12 watachuana, burudani kutoka kwa dayna nyange na TID watasindikiza warembo,katika ukumbi wa waisuka ,yote haya yanaletwa kwenu na kareen fashion&point view pub wakishirikiana na jamco video production

No comments:

Post a Comment