Friday 16 August 2013

KAGASHEKI CUP 2013: KITENDAGURO 3 vs KASHAI FC 1, HATUA YA NUSU FAINALI YAMALIZIKA LEO, KESHO FAINALI


Waamuzi wa mtanange huu wa leo kati ya Kitendaguro na Kashai

Kikosi cha Kashai kilichoanza
Kikosi cha Kitendaguro na kiongozi wao (kulia)

Mtanange ukiendelea..........

Wachezaji wa Kitendaguro maarufu kama Makhirikhiri wakionesha kutawala uwanja kipindi chote cha kwanza na kuwafunga bao zote tatu kwenye kipindi cha dakika 45.

Wachezaji wa Kitendaguro kushoto wakishangilia baada ya kupata bao la kwanza na la mapema huku kulia wachezaji wa Kashai Fc wakilalamika kwamba siyo bao wameotea!!

Wachezaji wa Kitendaguro wakishangilia baada ya kupata bao la pili

Mashabiki wa Kashai Hoi..wakionekana kuwa wapole!!!

Mchezaji wa Kitendaguro akitaka kukatiza mbele ya mabeki wa Kashai Fc

Mtanange ukiendelea..Kiongozi wa timu ya Kashai akiondolewa nje ya uwanja baada ya kumjia juu mwamuzi wa mchezo huu baada ya timu ya Kashai kufungwa bao la kwanza


Mashabiki

Mashabiki wa Kashai leo walikuwa hwana raha kabisa kutokana na kichapo cha juzi na dalili za kuonekana kuchapwa tena leo!!! mashabiki walikuwa hawana raha na kikosi chao!!

Kiongozi wa Timu ya Kashai akiondolewa nje ya uwanja baada ya kuleta shida kwa mwamuzi mapema kipindi cha kwanza.
Nje!!
Abdulzack kushoto na kulia ni Dj Y wakitangaza mtanange huo live Radio Kasibante Fm 88.5
RATIBA: HATUA YA  FAINALI
Jumanne 13 Agosti
10:00 Jioni  - Bilele  1 v/s kitendaguro 0
Jumatano 14 Agosti
10:00 Jioni - Kashai Fc 1 v/s  Rwamishenye Fc 2
Ijumaa 16 Agosti
Kutafuta mshindi wa tatu, itakuwa ni:-
Kitendaguro Fc 3 v/s Kashai Fc 1

Jumamosi 17 Agosti 
FAINALI
Bilele fc v/s Rwamishenye fc

No comments:

Post a Comment