Wednesday 14 August 2013

KAGASHEKI CUP 2013: KASHAI FC 1 vs RWAMISHENYE FC 2, SECOND HALF

Wachezaji wakisalimiana muda mchache kabla ya mtanage kuanza
Wachezaji wakisalimiana muda mchache kabla ya mtanage kuanza
Wachezaji wa timu ya Kashai wakiomba uwanjani
Wachezaji wa Rwamishenye
Waamuzi wa mtanange huu
Kikosi cha timu ya Rwamishenye kilichoanza
Mtanange ukiendelea...punde!!
Hatari kwenye lango la timu ya Rwamishenye..
Furaha ikaanzia hapa...kwenye benchi la ufundi baada ya timu ya Rwamishenye kupata bao la kwanza
Wachezaji wa Timu ya Rwamishenye wakishangilia baada ya kupata bao hapa na kufanya 1-0 dhidi ya Kashai Fc

Hatari kwenye lango la timu ya Kashai Fc ...kipa akipangulia mpira kwa mbele..

No comments:

Post a Comment